RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Customer service bongo ni mbaya Lakini na hao customers wenyewe wengi ni wabaya pia.Ukisikia hadithi yao watakavyoielezea usiashangae wakasema dreva bajaji ana tamaa, haridhiki na fedha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Customer service bongo ni mbaya Lakini na hao customers wenyewe wengi ni wabaya pia.Ukisikia hadithi yao watakavyoielezea usiashangae wakasema dreva bajaji ana tamaa, haridhiki na fedha.
Babu tulia acha fujoTatizo mjukuu wangu umesoma Memkwa! Ungesoma St. Kayumba ungeelewa mapema kabisa. Yaani Bolt ni zile nati za chuma.
Weka link nisikilize 😁🤣🤣 Naona Leo bando kakopa yuleWe don't care by Meddy😂
Kweli, kuna mazingira mambo ya mteja mfalme inabidi uweke pembeni maana hutoamini.Customer service bongo ni mbaya Lakini na hao customers wenyewe wengi ni wabaya pia.
Kwahiyo bajaj ikiwa kwenye mwendo wa kasi, dereva akaachia usukani na kugeuka nyuma kumsukuma huyo mcharuko akaanguka?WA Kwanza alitoka kwenye foleni
Bajaji ikaendelea kwenda akiwa kabaki mmja, akawa anajaribu kupiga kelele uita watu nje ndio kusukumwa na kujiburuta kweny rami
Madereva wa siku hizi ndivyo walivyo ukirequest anakwambia utaniongezea ka elfu tatu sister au anakwambia end trip akifika huko anajipangia bei.Ukisikia hadithi yao watakavyoielezea usiashangae wakasema dreva bajaji ana tamaa, haridhiki na fedha.
Inafikirisha sana.Ndio hivo ilivyo
Kuna mmoja nilimpiga makofi pale tegetaMadereva wa siku hizi ndivyo walivyo ukirequest anakwambia utaniongezea ka elfu tatu sister au anakwambia end trip akifika huko anajipangia bei.
Ingia Google andika BOLT usome uko Google uelewe kwanza.Kwahiyo bajaj ikiwa kwenye mwendo wa kasi, dereva akaachia usukani na kugeuka nyuma kumsukuma huyo mcharuko akaanguka?
Ama dereva ana mikono mitatu.
Ama bajaj hiyo ni special inabeba mtu mmoja nyuma na mmoja mbele hivyo mdada alikuwa seat ya mbele. Maana umedai walipanda wawili tu, bajaj ninazojua wanakaa watatu nyuma.
Kweli, hii imeshanitokea kwenye tax, anakubali akifika anaomba nyongeza.Madereva wa siku hizi ndivyo walivyo ukirequest anakwambia utaniongezea ka elfu tatu sister au anakwambia end trip akifika huko anajipangia bei.
aache ushamba kwani uki request ndio uingizwe hadi ndani?Kwani umerequest hili uende unakoenda au ushushwe kituoni kama daladala?
Mungu atadili nao katika namna ya ajabu hawataamini. Malipo ni hapa hapa.Ila wabongo ustaarabu bado sana. Leo asubuhi naenda kwenye event fulani nilishapanga bajaj ya kunipeleka tangu jana.
Bajaj kaja amenisubiri kuna jamaa wengine wanaenda event hio hio wakawa wanamlazimisha awapeleke wao aachane na mimi. Ila Bajaj akakaza nikafika pale kuona jamaa wako stranded na tunaenda sehemu moja nikamwambia Bajaj awaruhusu wapande twende wote. Wakapanda. Kufika eneo la tukio wakshuka wakajipangia bei likaanza zogo na Bajaj wakamtupia zile hela wakaondoka. Nilishangaa sana, nilichofanya nikampa Bajaj nauli full tuliyokubaliana mimi na yeye ile ya jamaa ikawa bonus. Jamaa ni watu wazima ukiwaona unaweza kufikiri wanajitambua kumbe ni bure kabisa. Yote ni Sharan kwa kazi za watu.
Kabisa. Hapa wanaume tayari wameshaweka picha ya ''vidada vyenye maringo'' kwenye vichwa vyao, na ''ku-vihukumu''. Maisha magumu nchi hii yamesababisha wanaume wengi wawe na frustration wanapoona wanawake ambao hawawezi kuwapata kwani uwezo hawana.Umegeuka ugomvi wa wanawake na wanaume na si abiria na mteja wake.
Tz bwana! Binafsi nadhani Bolt , Abiria na Dereva wake wasikilizwe na kila mtu apewe haki yake.
sawa mrembo ukopoa lakini?Ndio kwani pesa si yake mwache awe na maamuzi.