Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
We don't care by Meddy😂
View: https://youtu.be/P8zAaZy_hmg?si=NyoU0UKAnLzrBAu2
Hii itamfaa jioni ya leo 😎 au kama bando Hana aje kariakoo nimpe la madagaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We don't care by Meddy😂
Hiyo kesi naijua fika. Ndio maana namuita huyo dada mashauzi mcharuko. Mashauzi na upuuzi kwenye kazi za watu, mbona sisi wengine tunashuka pale nje.Ingia Google andika BOLT usome uko Google uelewe kwanza.
Alafu mtu humjui kwa nin umuite mcharuko kua na nidhamu kaka.
Lakini ulimsukuma akaanguka?Acha upotoshaji na kuongea mambo kwa kusikiliza upande mmoja. Huyo dada yako na mwenzake safari yao ilikuwa inaishia nje ya mlimani City. Dereva kawaambia safari imeishia wampe hela yake.Wanagoma wanafai, awaingize ndani wataongeza hela.
Jamaa kagoma kasema anarudi nao alipotoka, wao wakaruka. Alafu washenzi sana hao wadada,wameenda kumfungulia mashtala eti wameibiwa milioni kumi na simu ya iphone. Yaani hivyo vidada vinaonekana kabisa vina roho mbaya.
Na vinasambaza habari kwenye mitandao na kuweka namba ya dereva.Sasa tutashugulika navyo kwa njia ya kisheria.Hili likiisha tutafungua kesi nyingine.
Ilitakiwa atumie ile formula ya Kiswahili, Mjinga mpe cheoTatizo hako kadada kanapenda ushindani....kwann kasishuke Kama mwenzake kuepusha shari
Sasa kama anamashauzi na mcharuko we unaumia nin?Hiyo kesi naijua fika. Ndio maana namuita huyo dada mashauzi mcharuko. Mashauzi na upuuzi kwenye kazi za watu, mbona sisi wengine tunashuka pale nje.
Hivi unajua Bolt wanatambua eneo la kushusha abiria ni lipi kama anaenda M City? Sasa huyo dada alikuwa analazimisha bajaj aingie ndani kama nani VIP ama?
Na aliambiwa wapi kwamba ni lazima bajaj akubali kila ofa, mmefika mwisho wa safari makubaliano ya kuendelea kakataa sasa unakaza nini na ujuaji wako wa kipuuzi. Dada kagoma kushuka dereva hapotezi muda akaondoa bajaj yake ikabidi dada ageuke sterling.
sikopoa sana nahitaji uwepowako niponeYeah sijui ww kaka angu.
Hivi kumbe ww ndio dereva bolt mwenyewe.Acha upotoshaji na kuongea mambo kwa kusikiliza upande mmoja. Huyo dada yako na mwenzake safari yao ilikuwa inaishia nje ya mlimani City. Dereva kawaambia safari imeishia wampe hela yake.Wanagoma wanafai, awaingize ndani wataongeza hela.
Jamaa kagoma kasema anarudi nao alipotoka, wao wakaruka. Alafu washenzi sana hao wadada,wameenda kumfungulia mashtala eti wameibiwa milioni kumi na simu ya iphone. Yaani hivyo vidada vinaonekana kabisa vina roho mbaya.
Na vinasambaza habari kwenye mitandao na kuweka namba ya dereva.Sasa tutashugulika navyo kwa njia ya kisheria.Hili likiisha tutafungua kesi nyingine.
Funxo ni nin kaka?Kweli kabisa inavyoonesha hicho kidada chako kinaa mashauzi yake kimerequest afu tatu afu nyodo kibao na kutaka kumpelekesha dreva bajaj ya mil 10.3 kwa afu tatu pumbafuuu na hilo ni funxo kwa visonkolokwinyo wote
njoo pm nikuelekezeUnaumwa au umekuaje?
Achana nao hao mods, hawana tofauti na traffic, hawakosi kosa wakikuamulia wewe weka tu jeraha hasa likiwa sehemu zenye mvuto.Mods wakiruhusu nitaweka picha ya jeraha kubwa la huyu dada.
Ulilazimisha ushushwe ndani kama nani. Si ungetembea kidogo ukafika. Ningekuwa ni mimi ningekuzaba makofi kesi ingekuwa kukutandika sio kuondoa bajaj ukaruka nje kishujaa.Sasa kama anamashauzi na mcharuko we unaumia nin?
Mjuaji ni wewe mana unajieleza sana.
Kama ww hua unawashusha abiria wako nje ni ww usilazimishe.
😂😂😂😂Kwani lazima kutembea kama mtu hataki kutembea kwa nin umlazimishe.Ulilazimisha ushushwe ndani kama nani. Si ungetembea kidogo ukafika. Ningekuwa ni mimi ningekuzaba makofi kesi ingekuwa kukutandika sio kuondoa bajaj ukaruka nje kishujaa.
Mashauzi ni kwako sio kwenye kazi za watu.
Vimwanamke vya siku hz vinajifanya vijuaji sana na vinajua kuongea sanaTatizo hako kadada kanapenda ushindani....kwann kasishuke Kama mwenzake kuepusha shari
Hun, this is a bit harsh.Kabisa. Hapa wanaume tayari wameshaweka picha ya ''vidada vyenye maringo'' kwenye vichwa vyao, na ''ku-vihukumu''. Maisha magumu nchi hii yamesababisha wanaume wengi wawe na frustration wanapoona wanawake ambao hawawezi kuwapata kwani uwezo hawana.
Wanaume wa jf wengi wao sijui ni stress, sijui ni trauma walizopitia kwenye maisha!! Unasoma vitu unabaki tu kujiuliza "what did her mama do"!!!🙆🙆🙆🙆Umegeuka ugomvi wa wanawake na wanaume na si abiria na mteja wake.
Tz bwana! Binafsi nadhani Bolt , Abiria na Dereva wake wasikilizwe na kila mtu apewe haki yake.
NAKAZIAKweli kabisa inavyoonesha hicho kidada chako kinaa mashauzi yake kimerequest afu tatu afu nyodo kibao na kutaka kumpelekesha dreva bajaj ya mil 10.3 kwa afu tatu pumbafuuu na hilo ni funxo kwa visonkolokwinyo wote
What did her mother do…! good question.Wanaume wa jf wengi wao sijui ni stress, sijui ni trauma walizopitia kwenye maisha!! Unasoma vitu unabaki tu kujiuliza "what did her mother do"!!!🙆🙆🙆🙆
M-Beijing umeingia 😩😩Wanaume wa jf wengi wao sijui ni stress, sijui ni trauma walizopitia kwenye maisha!! Unasoma vitu unabaki tu kujiuliza "what did her mama do"!!!🙆🙆🙆🙆