Dereva Bolt amemjeruhi rafiki wa dada yangu na kutokomea

Dereva Bolt amemjeruhi rafiki wa dada yangu na kutokomea

Hawawezi kukaa kimya

Hao wadada ni waongo.

Bajaj inavyoendeshwa inatumika mikono miwili na mguu mmoja.

Swali langu dereva alimsukuma huyo dada kwa kutumia kiungo gani ? Kama mikono miwili na mguu mmoja ilikuwa inatumika kuendesha bajaj?
 
Hao wadada ni waongo.

Bajaj inavyoendeshwa inatumika mikono miwili na mguu mmoja.

Swali langu dereva alimsukuma huyo dada kwa kutumia kiungo gani ? Kama mikono miwili na mguu mmoja ilikuwa inatumika kuendesha bajaj
Ushawai ona bajaji kapakia watu wawili pale mbele yeye anakaa pembeni mwisho kabisa. Kama hilo anaweza inakuaje ashindwe umsukuma mtu ambae yuko mlangoni kabisa huko.
 
Hivi kumbe ww ndio dereva bolt mwenyewe.
😂😂😂😂😂😂
Usicheze na uhai wa MTU.
Kuna siku utamfanyia mtu huu upuuzi uende kuozea jera na kuliwa tunda juu.
Hili likiisha itakua vizuri ukifungua kesi

Hii kesi hamuwezi kushinda.
Ushawai ona bajaji kapakia watu wawili pale mbele yeye anakaa pembeni mwisho kabisa. Kama hilo anaweza inakuaje ashindwe umsukuma mtu ambae yuko mlangoni kabisa huko.

Kwanza Bajaj haziruhusiwi kupakia abiria mbele. Hivyo huyo dada amevunja sheria kukaa mbele. Japo najua wewe ni muongo muongo kusema amekaa mbele

Pia Yaani abiria wawili tu. Mmoja aache siti tupu mbili zilizobaki nyuma halafu halafu akakae mbele abanane na dereva ? Wewe dada Unatuona sisi wajinga sana

Mimi ni askari, Natamani hiyo kesi nijue ipo kituo gani nicheke kujua nani anapiga hela hiyo ya ujinga wenu

Wewe unatuona polisi ni mazuzu sana
 
Wadada na sisi sometimes tuna shida Sana, wewe umefikishwa mpaka mlimani city nje unashindwa tu kushuka kuingia ndani jamani kweli?.
Kwamba utapungukiwa nini? Au Kuna umbali gani hapo?.Si unatembea tu kuepusha shari, Kama asingewafikisha mlimani city hapo ningeelewa.
Pole kwa majeruhi.
 
Hii kesi hamuwezi kushinda.

Kwanza Bajaj haziruhusiwi kupakia abiria mbele. Hivyo huyo dada amevunja sheria kukaa mbele. Japo najua wewe ni muongo muongo kusema amekaa mbele

Pia Yaani abiria wawili tu. Mmoja aache siti tupu mbili zilizobaki nyuma halafu halafu akakae mbele abanane na dereva ? Wewe dada Unatuona sisi wajinga sana

Mimi ni askari, Natamani hiyo kesi nijue ipo kituo gani nicheke kujua nani anapiga hela hiyo ya ujinga wenu

Wewe unatuona polisi ni mazuzu sana
Askari hujui bolt ni nini em kwanza
Ukimaliza kucheka weka kituo.
Ila leo kwa mwingine kesho kwa mzazi wako, mtoto ako au ww mwenyewe
 
Story bado haina uhalisia,. I mean maelekezo hayaeleweki
Huyo dada anasema kasukumwa na dereva.
Akiwa mlangoni akipiga kelele kuomba msahada barabarani baada ya dereva kuambiwa ingia hadi M City tutalipa sisi getini.
Dereva bolt akakataa akaanza kuendesha bajaji sasa hao wadada hawakujua kama dereva anawapeleka alikowatoa au laah walivofika kwenye jam mmja akaruka akabaki mwingine.
Huyo alobaki akawa anapiga kelele kuita watu wamsaidie ndio dereva bajaji akamsukuma gauni likararuka akaburuzika ndo hapo unaona majeraha.

Dereva kapelekwa polisi akasema yeye hakumsukuma huyo dada.
 
visonkolokwinyo wote
Mh! hilo neno limeandikwa na mwanaume kweli? Maana wenye msemo wao hua wanalItamka kwa kupindisha midomo huku imeangalia juu kama kasuku, pua moja wanaibana kwa kidole huku wanachezesha kamguu kamoja, 🤔🤔🤭🤣🤣
 
Askari hujui bolt ni nini em kwanza
Ukimaliza kucheka weka kituo.
Ila leo kwa mwingine kesho kwa mzazi wako, mtoto ako au ww mwenyewe

Wapi nimesema sijui Bolt ni nini ?

Je bajaj zinazofanya kazi na Bolt huwa zinaruhusiwa kupakia abiria mbele ?
 
Wadada na sisi sometimes tuna shida Sana, wewe umefikishwa mpaka mlimani city nje unashindwa tu kushuka kuingia ndani jamani kweli?.
Kwamba utapungukiwa nini? Au Kuna umbali gani hapo?.Si unatembea tu kuepusha shari, Kama asingewafikisha mlimani city hapo ningeelewa.
Pole kwa majeruhi.
Kilichotokea hapo naona walirushiana maneno. Maan wadada sijunajua walivo na kelele.
Dereva alivochukua maamuzi ya kuondoa bajaji wakajua wanaenda kuliwa ndo mana wa kwanza aliruka mapema.
 
Alikaa siti Moja na dereva?
Huyu dada anasema alikaa nyuma dirishani alafu mwenzie mlangoni.
Kwa hiyo huyo bajaji alivondosha bajaji wakafika sehem kuna jam huyo mwingine akaruka akabaki wa mmoja.
Alobaki akawa anapiga kelele kuomba msahada ndio dereva kumsukuma cz alikua karibu na mlangoni kabisa.
 
Huyu dada anasema alikaa nyuma dirishani alafu mwenzie mlangoni.
Kwa hiyo huyo bajaji alivondosha bajaji wakafika sehem kuna jam huyo mwingine akaruka akabaki wa mmoja.
Alobaki akawa anapiga kelele kuomba msahada ndio dereva kumsukuma cz alikua karibu na mlangoni kabisa.

Hapa Unasema dada alikaa nyuma , Je dereva alimsukuma vipi mtu wa nyuma yake huku huyo dereva anaendesha bajaj?
 
Back
Top Bottom