Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushawahi panda bajaji siti ya nyuma?Huyu dada anasema alikaa nyuma dirishani alafu mwenzie mlangoni.
Kwa hiyo huyo bajaji alivondosha bajaji wakafika sehem kuna jam huyo mwingine akaruka akabaki wa mmoja.
Alobaki akawa anapiga kelele kuomba msahada ndio dereva kumsukuma cz alikua karibu na mlangoni kabisa.
Good boy unawajua mademu wa sinza?Kiufupi hili halikuwa tatizo kubwa ni kuburi tu cha derava na kushindana na wanawake sasa ilishindwa nini kumpa tu maelezo ya kistaarabu mpaka yanatokea yote hayo.??? Unajua ukishakuwa dereva au konda hekima pia Inabidi ichukue mkondo wake.huyu madam imekuwaje amechunika hivyo kama sio dereva kumfanyia ukatili na ushenzi.? Kwahiyo kama kaonyesha kiburi ndio alistahili huo ukatili.? Dereva anatakiwa achukuliwe hatua kwa kutokuzingatia uhai wa mwenzake
Huu ni ushenzi kabisa alafu kuna wajinga wengine wanasema huyo dada ana makosa.
Bolt wanatakiwa kusajili watu timaru sio kila mwenye leseni tu kisa gari imekizi vigezo anapata kibali .foolish.
Kuna kipindi chanika nilipanda noa ya kutokea mwanzo mgumu tulikuwa kama watu 8 kwenye noa sasa muda wa kuchukua nauli nikamwambia kinda wait nimekaa vibaya tumebanana tukifika maeneo ntakupa hela yako .basi dah akamind kabisa eti tunamdharau kwa kuwa nikonda kwahiyo tunadharau kazi yake.pia katika maelezo yake jamaa kasoma udom degree sasa anavyoona vile anahisi anashushwa vyeo
Tukajisema sasa hapa asie kuwa na degree ambazo sio practical ni nani mbona kila mtu anayo tu si ni karatasi tu kwani shida iko wapi.
Yani jf watu hawana suluhu wanajua kutukana na kuita watu wadangajiKiufupi hili halikuwa tatizo kubwa ni kuburi tu cha derava na kushindana na wanawake sasa ilishindwa nini kumpa tu maelezo ya kistaarabu mpaka yanatokea yote hayo.??? Unajua ukishakuwa dereva au konda hekima pia Inabidi ichukue mkondo wake.huyu madam imekuwaje amechunika hivyo kama sio dereva kumfanyia ukatili na ushenzi.? Kwahiyo kama kaonyesha kiburi ndio alistahili huo ukatili.? Dereva anatakiwa achukuliwe hatua kwa kutokuzingatia uhai wa mwenzake
Huu ni ushenzi kabisa alafu kuna wajinga wengine wanasema huyo dada ana makosa.
Bolt wanatakiwa kusajili watu timaru sio kila mwenye leseni tu kisa gari imekizi vigezo anapata kibali .foolish.
Kuna kipindi chanika nilipanda noa ya kutokea mwanzo mgumu tulikuwa kama watu 8 kwenye noa sasa muda wa kuchukua nauli nikamwambia kinda wait nimekaa vibaya tumebanana tukifika maeneo ntakupa hela yako .basi dah akamind kabisa eti tunamdharau kwa kuwa nikonda kwahiyo tunadharau kazi yake.pia katika maelezo yake jamaa kasoma udom degree sasa anavyoona vile anahisi anashushwa vyeo
Tukajisema sasa hapa asie kuwa na degree ambazo sio practical ni nani mbona kila mtu anayo tu si ni karatasi tu kwani shida iko wapi.
Hao dada zako ni vilema?Ila vijana wa jf mnawaza kama wavulana muda wote.
Ndio maana walikuwa hawezi kutembea toka nje ya geti la mlimani city Hadi ndani kwaiyo magongo yatawafaaNdio, unataka kuwapa baiskeli za kutembelea?
Poleeni sana kwa tatizo mtapona na mtakaa sawa Hawa madereva mda mwingine vichwa vyao vipo kama madagaa tu
Huyo abiria inaonekana na mdomo sana na maybe aliongea Shit.
Sasa pale Mlimani alishindwa vipi kutembea kuingia ndani