Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inspectorbenja acheni ujingaMajuzi mdada aliequest bajaji, bajaji kafika Mlimani City wakamwambia bajaji tuingize ndani bajaji akakataa wakamwambia tutalipia getini.
Bajaji akakataa akageuza bajaji, mdada anavyoelezea. Ikafika sehemu kuna msongamano wa magari mwenzie akashuka akamuacha peke ake huko ndani ya bajaji.
Mdada akawa anapiga kelele watu wamsaidie mana jam iliisha na bajaji ikawa inaendeela kwenda. Ghafla bajaji akamsukuma huku akiendelea kuendesha.
Bajaji akakimbia mdada akabaki hapo chini kaumia kachubuka mno. Mdada alipelekwa hospital kupatiwa huduma ya kwanza pia akaenda police. Akaenda pia office za bolt na hawajachukua hatua yoyote. Huyo kaka bolt alikamatwa lakini alitolewa kwa dhamana.
Utaratibu mwingine polisi wamesema utaendelea Jumatatu. Wadada tuwe makini sana kwa sababu sisi ndio tunatumia bolt sana madereva bolt asilimia kubwa wamekua wajinga sana sana.
Mods wakiruhusu nitaweka picha ya jeraha kubwa la huyu dada.
"Nisameeni kwa uandishi mbovu"View attachment 3055138
Nimesoma mwisho nikacheka. Bajaj ya 10m kwa abiria 3,000! Mbona hapa ni kama anaetoa 10m ili apate 3,000 ndio anashida? Si angetembelea na watoto wake kwenda beach ili aepuke kutumwa kwa 3,000.Kweli kabisa inavyoonesha hicho kidada chako kinaa mashauzi yake kimerequest afu tatu afu nyodo kibao na kutaka kumpelekesha dreva bajaj ya mil 10.3 kwa afu tatu pumbafuuu na hilo ni funxo kwa visonkolokwinyo wote
una D ngapi mzee wa kujikita kwenye mada?Sijaelewa🥲
waambie kwamba dereva alikua na mikono sabaWA Kwanza alitoka kwenye foleni
Bajaji ikaendelea kwenda akiwa kabaki mmja, akawa anajaribu kupiga kelele uita watu nje ndio kusukumwa na kujiburuta kweny rami