Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 593
- 1,376
Kati ya video zinazosambaa mtandaoni ni dereva wa gari la serikali akiwa amelewa chakari na kusababisha ajali ya kugonga bodaboda.
Baadhi ya mashuhuda wamemuuliza kwanini amelewa na ni dereva wa serikali ambapo amekiri kweli kuwa amelewa.
View attachment 2892865
Madereva wa serikali wengi ni hopelessKati ya video zinazosambaa mtandaoni ni dereva wa gari la serikali akiwa amelewa chakari na kusababisha ajali ya kugonga bodaboda.
Baadhi ya mashuhuda wamemuuliza kwanini amelewa na ni dereva wa serikali ambapo amekiri kweli kuwa amelewa.
View attachment 2892865
Uongozi wa jf ungeweka sheria kua ukianzisha Uzi ambao Hauna maana unafungiwa kuanzisha Uzi hata wiki ivi, kidogo tungeelewana...
Bila video hapa hakuna ulichoeleweka
Kati ya video zinazosambaa mtandaoni ni dereva wa gari la serikali akiwa amelewa chakari na kusababisha ajali ya kugonga bodaboda.
Yuko na chenchi, kanywa Hadi za JumatatuHahaha jamaa yupo vyombo hatari...
Dereva ni dereva tu; awe wa gari la serikali au la kanisa au la msikiti au la kwake.Kati ya video zinazosambaa mtandaoni ni dereva wa gari la serikali akiwa amelewa chakari na kusababisha ajali ya kugonga bodaboda.
Baadhi ya mashuhuda wamemuuliza kwanini amelewa na ni dereva wa serikali ambapo amekiri kweli kuwa amelewa.
View attachment 2892865
Huyo siyo mng'arisha viatu kweli huyo? mbona anajiamini sana?Kati ya video zinazosambaa mtandaoni ni dereva wa gari la serikali akiwa amelewa chakari na kusababisha ajali ya kugonga bodaboda.
Baadhi ya mashuhuda wamemuuliza kwanini amelewa na ni dereva wa serikali ambapo amekiri kweli kuwa amelewa.
View attachment 2892865
Nimefuta comment yangu, alileta habari bila videoMbona mwamba katusanua vizuri tu hapa?
Huku siyo kuchomewa kunguni, huyu mjinga huoni alivyolewa au wewe unaona sawa unataka kumtetea?Yani huyo jamaa anachomewa kunguni balaa
Ha ha haaa,pombe yote ingeruka wangeelewanaWangemzaba vibao
Naona hapo yuko bwax mbaya
Ova
Sema huyo anayerecord video ni mkuda kinomaKati ya video zinazosambaa mtandaoni ni dereva wa gari la serikali akiwa amelewa chakari na kusababisha ajali ya kugonga bodaboda.
Baadhi ya mashuhuda wamemuuliza kwanini amelewa na ni dereva wa serikali ambapo amekiri kweli kuwa amelewa.
View attachment 2892865