Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Mrangi vibao na pombe unaweza kupata kesi kubwa ujue...Wangemzaba vibao
Naona hapo yuko bwax mbaya
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrangi vibao na pombe unaweza kupata kesi kubwa ujue...Wangemzaba vibao
Naona hapo yuko bwax mbaya
Ova
Saana bongo si wanatamani jamaa afukuzwe kazi wawe pamoja mtaani wakiua Kingi..Sema huyo anayerecord video ni mkuda kinoma
Afukuzwe tuSaana bongo si wanatamani jamaa afukuzwe kazi wawe pamoja mtaani wakiua Kingi..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Madereva wa serikali wengi ni hopeless
Wakisha kuwa na ST wana dhani wako juu ya sheria. Leo karibu gari STM landcruised karibu anigonge kwa ivertaking ya kioumbavj. Ati ana muwahi boss wake kalala SG hotel Arusha
Jamaa yuko njwiiiii!!!yaani hatariKati ya video zinazosambaa mtandaoni ni dereva wa gari la serikali akiwa amelewa chakari na kusababisha ajali ya kugonga bodaboda.
Baadhi ya mashuhuda wamemuuliza kwanini amelewa na ni dereva wa serikali ambapo amekiri kweli kuwa amelewa.
View attachment 2892865
Kama serikali ya raisi Samia inaendeshwa kilevi namna hii, kwa nini madereva wa magari ya serikali wasiendeshe wakiwa wamelewa? Wanaiga mfano wa uongozi wa serikali, waacheni msiwasumbue. Siku mkikataa serikali kuendeshwa kilevi hata madereva wataacha kuendesha magari kilevi.Kati ya video zinazosambaa mtandaoni ni dereva wa gari la serikali akiwa amelewa chakari na kusababisha ajali ya kugonga bodaboda.
Baadhi ya mashuhuda wamemuuliza kwanini amelewa na ni dereva wa serikali ambapo amekiri kweli kuwa amelewa.
tena mshezi kweli kweliSema huyo anayerecord video ni mkuda kinoma
Aliyerekodi ni mpumbavu na limbukeni, na hii ndiyo shida ya mitanzania mingi kumiliki simu janja kwa ajili ya umbea umbea na ujinga..nimechukia sana!tena mshezi kweli kweli
kamharibia future mtu wa watu
🤣🤣🤣🙏🏽Jamaa kawaka balaa
Akiachiwa tu aendelee na safari anaenda kuisababishia hasara serikali