Dereva gari limemzidi uwezo, Leseni ichunguzwe

Dereva gari limemzidi uwezo, Leseni ichunguzwe

Hili gari wananch walishagoma kulipanda iliyobaki ni kulazimishana tu. Linatembea bila ridhaa yacwananchi. Ninampenda mrithi wa Maalim Seif kule Unguja alisema mpaka kutoa roho za watu kisa utawale utawala maana yake ni nini?
 
Hili gari wananch walishagoma kulipanda iliyobaki ni kulazimishana tu. Linatembea bila ridhaa yacwananchi. Ninampenda mrithi wa Maalim Seif kule Unguja alisema mpaka kutoa roho za watu kisa utawale utawala maana yake ni nini?
kwakweli inatia shaka
 
Dareva kasema anaongeza gharama za nauli ili apate hela ya kurekebisha gari amesahau wanao mudu hiyo nauli ni watu wachache tu na weng hawaimudu muda si mrefu abiria wanaweza kuisusia gari na kutafuta njia za panya ili wafike waendako huku gari itabak kwenye hali mbaya kutokana na kukosa pesa za uendeshaji, ni Bora nauli ingekua rafiki abiria wangesafiri kwa wingi na yeye aitengeneze gari bila kuwaumiza kiuchumi abiria
 
Dareva kasema anaongeza gharama za nauli ili apate hela ya kurekebisha gari amesahau wanao mudu hiyo nauli ni watu wachache tu na weng hawaimudu muda si mrefu abiria wanaweza kuisusia gari na itabak kwenye hali mbaya kutokana na kukosa pesa za uendeshaji, ni Bora nauli ingekua rafiki abiria wangesafiri kwa wingi na yeye aitengeneze gari bila kuwaumiza kiuchumi abiria
anajua fika kuwa abiria tuliowengi ni masikini ndio tunaopamba magari ya umma hivyo akipandisha nauli analengo la kutuumiza sisi na sio wengine.
 
Eti ,,Alishindwaje kumshauri"?

Ukiwa huna akili tu ndipo utauliza hili swali,,- yaani ikiwa mbongo zako zimelala yoo.
 
Eti ,,Alishindwaje kumshauri"?

Ukiwa huna akili tu ndipo utauliza hili swali,,- yaani ikiwa mbongo zako zimelala yoo.
Usiniambie kuwa dereva wa wakati ule alikuwa hashauriki? yule alikuwa mkali si kwamba alikuwa hashauriki na ukali alikuwa nao baada ya kuingia kazini na kuona wasaidizi wake walikuwa wanaendesha mambo kimazoea.Huoni kwa kipindi chake alilitoa gari kutoka Ordinary Class hadi Semi Class na angeleea na udreva basi tungefika kwenye First Class. Udereva ni taasisi ambayo inajumuisha makondakta, turn boys,wakata tiketi, watu wa parcel ,mafundi wa magari na umeme wa magari n.k hao ndio utengeneza neno udereva.
 
Back
Top Bottom