Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Dereva makini unatakiwa kabla ya kuliondosha au kuwasha gari lako ufanye mambo haya:-
Ufanye ukaguzi wa nje ya gari
Ufanye ukaguzi wa nje ya gari
- Matairi kama yote ni mazima, hakuna sehemu iliyotuna
- Taa zote kama zinawaka(taa kubwa, indicator, reverse, hazard, break)
Ukaguzi wa boneti
- Maji ya radiator
- Maji ya wiper
- Oil (injini, breki, clutch, usukani)
- Betri
Ukaguzi wa ndani ya gari
- Dashboard, kama kuna ujumbe wowote ufanyie kazi, iwe mafuta, joto n.k
- Clutch kama inafanya kazi
- Breki kama inafanya kazi
- Gear kama inafanya kazi
- Accelerator kama inafanya kazi
- Usukani kama unafanya kazi vizuri
Baada ya kukamilisha hayo yote na ukaona viko sawa, unaweza kuondosha gari.