Dereva makini, fanya yafuatayo

Dereva makini, fanya yafuatayo

nyie mnazungumzia magari ya kizamani, hizi gari za kisasa hazina mambo hayo, radiator inawekwa coolant ambayo inakaa zaidi ya mwaka
Acha kuonyesha upumbavu wako hapa, ukaguzi ni muhimu mno hasa basic things kama kuangalia uvunguni mwa gari yako kabla ya kuondoka na hili lifanyike kila unapotaka kuondoa gari, kunaweza kukawa na mnyama au mtoto chini ya gari
 
Kuna mambo ya muhimu sana umeyasahau mkuu....
Wewe umetukumbusha kitu inaitwa "pre atsart checklist and safe drive.
Bahati mbaya umesahau mapungufu ya kibinadamu kama:-
1. Don't drink and drive
2. Lala mapema
3. Out off stress
4. Usitumie sim
5. Usisikilize maelekezo ya mwingine wakati unaendesha, tumia akili na maarifa.
 
Kuna mambo ya muhimu sana umeyasahau mkuu....
Wewe umetukumbusha kitu inaitwa "pre atsart checklist and safe drive.
Bahati mbaya umesahau mapungufu ya kibinadamu kama:-
1. Don't drink and drive
2. Lala mapema
3. Out off stress
4. Usitumie sim
5. Usisikilize maelekezo ya mwingine wakati unaendesha, tumia akili na maarifa.
Zile zilikuwa upande wa chombo husika, hizi ulizozielezea ni kwa dereva husika (mtu anayetaka kutumia chombo awe na sifa zipi); zote ni za muhimu kwa sababu lengo ni kuepusha ajali kwa mtumia chombo pamoja na watumia barabara wengine.​
 
Usipokuwa makini, unaweza kukuta nut za kufungia tairi zimelegezwa; ile unachochea moto unashangaa ajali, pamoja na kutangulia mbinguni.
Ilinitokea hii, nut zililegea, stud zikakata na tairi ilichomoka. Pona pona yangu nilikua speed ndogo na tairi ilichomoka ya nyuma upande wangu.

Nimejifunza kabla sijaanza safari lazima nikague stud zote kama zimekaza ndio nisepe. Ingawa i learnt it in the hard way!!!
 
Zile zilikuwa upande wa chombo husika, hizi ulizozielezea ni kwa dereva husika (mtu anayetaka kutumia chombo awe na sifa zipi); zote ni za muhimu kwa sababu lengo ni kuepusha ajali kwa mtumia chombo pamoja na watumia barabara wengine.​
Mungu wetu mwema akutunze mkuu, umejazia pale nilipo pungukiwa..😊
 
Back
Top Bottom