Juzi kamrudisha dereva kutoka Kenya pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi kamrudisha dereva kutoka Kenya pia
Mungu apishe mbali the trickle down effect Ni kubwa mno, hizi nchi Saba wakisema hakuna dereva wa Lori kwenda Dar tumekwishaTanzania sasa hivi ndio main supplier wa ukanda huu wa maziwa makuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
TZ TUNAPIMA PALE AMBAPO MTU TAYARI ANAUMWA KAENDA MWENYEWE HOSPHuku Tz vipimo bado havijawa vyakutosha labda, haiwezekani mtu anasafiri hadi mpakani ndiyo anashtukiwa kua ana COVID19.
Tutaisha kwakweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote waliopimwa walizidiwa?
Unawalamu bure tu wakati ni makosa yetu badala ya kufunga mipaka tunajali uchumi wa nchi kwanza badala ya kuchukua hatua za kisayansi tunahimiza watu wa sali sana....bora arudishwe tu tumuombee ndo sera ya Raisi wetuKwani Uganda wakimhesabia huyo mgonjwa kwao wanapungukiwa nini?.Mbona Tanzania wanataja idadi kwa ujumla huku wakibainisha uraia wao!
Na sisi tukianza kuwarudisha wagonjwa wa mataifa mengine badala ya kuwashikilia na kuwatibu tutakuwa tunapunguza au tunaongeza tatizo?
Sijawaelewa kabisa.
Very Shameful.Sifungi mipaka kuna nchi zinanitegemea nyooooo...hizo nchi zenyewe saiv zinakunanga na wagonjwa wako wanakurudishia upambane nao!Hapa wanachojaribu kukuonesha ww ndie supplier mkubwa wa corona EA sbabu ya maamuzi yako mabovu mabovu na utai cost dunia!
Kwahio Data za Tanzania zina Plus One? Na wanamrudisha ili iweje si wamtibu ili apone alafu ndio arudi? Au tunaanza kuwa-treat binadamu kama commodities.
....
Dreva huyo ambae aliendelea na safari yake baada ya vipimo, alitafutwa na kurudishwa Tanzania baada ya majibu yake kuonyesha ana virusi vya corona, imesema wizara ya afya ya Uganda....