mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Bwanaa ehh tuzid omba dua [emoji23][emoji23][emoji23]nipe Mkono bwashee
kwa vyombo tunavyopiga hakika tumepona
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwanaa ehh tuzid omba dua [emoji23][emoji23][emoji23]nipe Mkono bwashee
kwa vyombo tunavyopiga hakika tumepona
Halafu mwenyewe anasema anajipodoa ili aongee na waandishi wa habari yaani siiimpoo kama vile katuletea kombe la dunia! Sijamwelewa na sitamuelewa kamweeSiwezi kuutafuta Kama huyo mjinga mwenzio, msidhani wote walioahirisha safari zao walikuwa Ni maskini.
Kutuletea janga kubwa mno. Just imagine siku moja TU bila Hilo janga ilivyo ya maana. Tafakari siku moja iliyopita bila kuwa na Mgonjwa hata mmoja the way tulivyokuwa angalau na utulivu wa mioyo na shughuli za kiuchumi kuendelea Kama kawaida.
Angalia utofauti wa siku hiyo moja TU na Hali tuliyonayo hivi Sasa. Utagundua hata Mungu angetupa siku nyingine moja au tatu mbele bila ya maambukizi hata ya mtu mmoja tungekuwa tumepiga walau hatua.
Fikiria tu hata Bei ya sanitizer kabla huyo dada hajafanya ujinga ilikuwa kiasi gani? Kukumbusha tu kichupa Cha ml 60 kilikuwa kinauzwa elfu 5 tu. Leo baada ya ujinga wa dada huyu kinauzwa elfu 25.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kirusi kinaweza kuishi sauna.. HIV mwenyewe sauna anakufa sembuse CoronaKuwa makini usije toka sauna na corona
Hata mimi mwanzo aliniudhi sana. Lakini baada ya kupata taarifa za dar na Zenj nika jua hata kama asingekuja, tungeupata tuuHuyo mama ajifiche hukohuko maana akiingia mtaani tutamgombania kama mwizi wa bats mtaani hovyo sana huyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
duh we mtu mbona katili hivyo?!
Ngoja usikie idadi ya watu waliowaambukizwa na huyo mburukenge vs walioambukizwa na hao wazungu.Hata mimi mwanzo aliniudhi sana. Lakini baada ya kupata taarifa za dar na Zenj nika jua hata kama asingekuja, tungeupata tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa ndio kazi ya kubadili badili,kuunganisha unganisha nyuzi za watu kama wanaCorona ya ubungo.Kumbe dereva taxi alimchukua abiria huyu tokea KIA moja kwa moja hadi Arusha hotelini.
Tokea hotelini alikwenda nyumbani kwake ambako ana mke na watoto 4. Wote hawa alishikana nao mikono.
Tokea nyumbani siku hiyo hiyo akapata abiria 2 kuwapeleka Karatu. Huko kuna shule ya watoto yatima ambako abiria hao 2 walikuwa wakienda.
Asubuhi watoto wote 4 wa dereva walielekea mashuleni kwao ambako maisha yaliendelea kama kawaida.
Kwa maelezo ya dereva taxi, wale walioenda kwenye ile shule wameshapatikana kule kwenye shule ya watoto yatima, lakini maisha yalishaendelea kama kawaida.
Hicho ndicho kipimo halisi cha mnyororo wa huu ugonjwa Corona ambao WHO imeuita kuwa ni janga la kimataifa.
Source: BBC Swahili leo.
Kwenu serikali, pasipo na kupepesa maneno hapa "inatakiwa kuwepo mkakati kamili sasa na kwa dharura kweli, si mkakati nusu nusu tena."
At this stage, "we urgently need a total strategy. A partial strategy is not an option anymore."
_________________________________
MODs mmerekebisha title ya uzi mkapotosha!
Hakuna aliyekuwa kasema dereva ana Corona.
Title ilikuwa wazi: Dereva aliyemchukua Mgonjwa wa kwanza wa Corona yaani - Tanzania Corona Patient Zero
Hapo MODs rekebisheni tafadhali.
Kama hana Corona mbona ni la kheri mno, hakuna anayemwombea mabaya.
______________________________
Hawa ndio kazi ya kubadili badili,kuunganisha unganisha nyuzi za watu kama wanaCorona ya ubungo.
Uko sahihi kabisa kwa kadiri ya usawa Perspective yako; However Anayejua FACT ni muhusika, haya mengine ni maoni tu ya mitandaoni.Tumeshamwelewa alikuwa anakinga ndugu zake
Hili ni Jibu lako kutoka na Usawa wa Mtazamo wako, na uko sahihi kabisa; Ila sio jibu la muhusika na FACT anayo muhusika; na inawezekana isiwe kama unavyotazamia.Jibu Ni jepesi alichagua kuwanusuru ndugu zake kwa muda na kwenda kuwaangamiza
Uko sahihi bosi, kwa kadiri ya Usawa wa Mtazamo wako;Akili zako Ni Kama zake tu
Hapa umekosea kujibu.Hao wa hotelini sio watu?.
Sasa wana mlaumu huyo mama na wazungu wa zanzibar na Dar nao wamefanya makusudi
Sent using Jamii Forums mobile app
watu washalalamika sana,Mods hawa kama vile wana vyeti feki.Kwa kweli uelewa wa mada wa mods ukiwa kama hivi ni shida.
Someni kuelewa kabla ya hatua zenu fyongo za kufanya marekebisho au uunganishaji nyuzi bila ridhaa.
Bila hivyo huu utakuwa ni ubakaji wa mada kama ulivyo ubakaji mwingine tu.
Huyu mama hakufikiria vizuri. Angebaki tu hukohuko akajifanyia hiyo self isolation.
As long as ameuleta Tanzania, hata asipoenda kwake, familia yake pia itaupata tu.
Ni suala la muda tu.