Dereva taxi aliyemchukua ambaye sasa ni mgonjwa wa Corona, hana corona

Dereva taxi aliyemchukua ambaye sasa ni mgonjwa wa Corona, hana corona

Kwenye familia yangu kwanza hakuna mjinga hivyo anayeweza kurisk maisha na kusafiri huku kukiwa na janga la huu ugonjwa kila mahali, just note that

Sent using Jamii Forums mobile app
Sema hata eti kisa ndugu yangu, tungemwambia amalizane na serikali huko huko maana sie hatuna hospital na sina ndugu aina hiyo, kanaoneka hakajatulia wanavyosema inewezekana aliambiwa kuna msaada njoo kuchukua ndiyo kakurupuka kwenda huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiwa na Jibu hili basi hapo ndio itakuwa Rahisi kumuelewa huyu dada;
Jibu Ni jepesi alichagua kuwanusuru ndugu zake kwa muda na kwenda kuwaangamiza mamia walioko hotelini maana hawamuhusu.

Hembu nikuulize, kwani kwake na hotelini wapi Kuna watu wengi?
Au alichukua hoteli yote ili kujiquarantine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana huyu mama hajafanya kusudi na Hana kosa.

Kwanza Kama visa yake iliisha na kupaswa kurudi nchini mwake ni lazima arudi vinginevyo angeweza kupata shida na mamlaka za uhamiaji huko alipokuwa.

Pili aliporudi aliamua kujiweka self quarantine kwa lengo la kuona Kama atakuwa na shida. Kumbuka hakuwa na familia zozote alipoingia nchini.

Na hata hotelini aliminimize movement. Imagine angeenda nyumbani Kisha akaanza kuingia sokoni, daldala, saloon,kanisani ingekuwaje.

Angekuwa anafanya makusudi angekuwa mdhururaji ili kuhakikisha anafanya maambukizi lkaini sivyo.

Kwangu Mimi nampongeza Sana Tena Sana kwa hatua aliyofanya kuepusha makubwa kuanzia familia yake, jamaa na marafiki. Na alionyesha uungwana kushirikiana na mmalaka husika pale alipoona dalili.

Tumpe hongera na badala ya kumlaumu.

By the way wengi wetu watapata huu ugonjwa lakini chanzo hakutakuwa huyu mama. Tusubiri muda ndio mwalimu
Jiliwaze, naona watetezi wake mnakwepa kujibu kwa Nini hakudeclare pale airport ili kukinga wengine.

Kwa Nini hakuwaeleza maafisa wa airport huo wasiwasi wake hata baada ya vipimo kuwa tofauti na wasiwasi wake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angeenda kwake achague chumba kimoja ndiyo aji quarantine, si wanasema anamiliki sijui vitu gani huko si kuna vyumba kwanini asingeenda huko kakimbila hotel na itakuwa aliwataarifu kabisa ndugu zake, hajatulia huyo dada

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio self quarantine wanayoelimisha WHO. Alipaswa kwenda kwake tena kwa gari yake na kuchagua chumba kimoja maana watetezi wake wanasema ana vyote hivyo. Ilikuwa Ni kiasi Cha kuomba aletewe gari na aliendeshe peke yake akajifungie kwake.

Alipoanza kujihisi vibaya angepiga Simu kwenye mamlaka husika wamfate alipo wampe huduma na vipimo.

Hiyo ndio self quarantine inayohuburiwa kote huko alikotoka.

Hata huyo anayetuadisia kuwa alikuwa akiishi naye alijiquarantine kwa namna hii hakwenda hotelini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema hata eti kisa ndugu yangu, tungemwambia amalizane na serikali huko huko maana sie hatuna hospital na sina ndugu aina hiyo, kanaoneka hakajatulia wanavyosema inewezekana aliambiwa kuna msaada njoo kuchukua ndiyo kakurupuka kwenda huko

Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly ukiwaza kwa mapana ndivyo ilivyo. It's obvious Ni tamaa ndio imempeleka.

Iko NGO moja walipata wafadhili wakaalikwa kwenda kujadili kuhusu Grants waliyokuwa waipate huko Europe. Hii ilikuwa Ni February na Grant ilikuwa ya Billions of money. Lakini kwa sababu ya janga hili waliahirisha kwenda.

Lakini kifutu huyu vidola kadhaa vimemfanya arisk maisha yake na kuvikimbilia. Watetezi wake kwa kujifanya na akili eti wanasema hujui uchungu wa kuahirisha flight?

Mtu huyo huyo ukimwambia achague kuambukizwa Corona makusudi na kuahirisha flight nadhani jibu tayari analo lakini kwa sababu akili zake kwa Sasa ziko kwenye kupambana kumtetea huyu mwanamke Hilo halioni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndio self quarantine wanayoelimisha WHO. Alipaswa kwenda kwake tena kwa gari yake na kuchagua chumba kimoja maana watetezi wake wanasema ana vyote hivyo. Ilikuwa Ni kiasi Cha kuomba aletewe gari na aliendeshe peke yake akajifungie kwake.

Alipoanza kujihisi vibaya angepiga Simu kwenye mamlaka husika wamfate alipo wampe huruma na vipimo.

Hiyo ndio self quarantine inayohuburiwa kote huko alikotoka.

Hata huyo anayetuadisia kuwa alikuwa akiishi naye alijiquarantine kwa namna hii hakwenda hotelini

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama aliamua kwenda hotel inamaana alikuwa tayari anajishuku , angewambia hapo airport na angepelekwa kama ni nyumbani au hosp kuliko kwenda hotel, watetezi wake yawezekana ni wateja wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maadamu hakuna trace cases zinaonyesha amemuambiza mtu. Nasubiria utakapoipata nione utu uzima wako utafanya nini
Sasa hii elimu inayotoltewa wewe unaipokea vipi au ndiyo wale unamaliza shule unatoka mwenyewe elimu unaiacha shule. Utakapoipata wewe tutaona kama nawewe utakimbilia hotel badala ya kujulisha hospital

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natamani Sana uupate Kisha ujipeleke mwenyewe quarantine ya serikali.
Siwezi kuutafuta Kama huyo mjinga mwenzio, msidhani wote walioahirisha safari zao walikuwa Ni maskini.

Kutuletea janga kubwa mno. Just imagine siku moja TU bila Hilo janga ilivyo ya maana. Tafakari siku moja iliyopita bila kuwa na Mgonjwa hata mmoja the way tulivyokuwa angalau na utulivu wa mioyo na shughuli za kiuchumi kuendelea Kama kawaida.

Angalia utofauti wa siku hiyo moja TU na Hali tuliyonayo hivi Sasa. Utagundua hata Mungu angetupa siku nyingine moja au tatu mbele bila ya maambukizi hata ya mtu mmoja tungekuwa tumepiga walau hatua.

Fikiria tu hata Bei ya sanitizer kabla huyo dada hajafanya ujinga ilikuwa kiasi gani? Kukumbusha tu kichupa Cha ml 60 kilikuwa kinauzwa elfu 5 tu. Leo baada ya ujinga wa dada huyu kinauzwa elfu 25.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Exactly ukiwaza kwa mapana ndivyo ilivyo. It's obvious Ni tamaa ndio imempeleka.

Iko NGO moja walipata wafadhili wakaalikwa kwenda kujadili kuhusu Grants waliyokuwa waipate huko Europe. Hii ilikuwa Ni February na Grant ilikuwa ya Billions of money. Lakini kwa sababu ya janga hili waliahirisha kwenda.

Lakini kifutu huyu vidola kadhaa vimemfanya arisk maisha yake na kuvikimbilia. Watetezi wake kwa kujifanya na akili eti wanasema hujui uchungu wa kuahirisha flight?

Mtu huyo huyo ukimwambia achague kuambukizwa Corona makusudi na kuahirisha flight nadhani jibu tayari analo lakini kwa sababu akili zake kwa Sasa ziko kwenye kupambana kumtetea huyu mwanamke Hilo halioni

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunapewa elimu kabisa, lakini watu wanajifanya uchizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunapewa elimu kabisa, lakini watu wanajifanya uchizi

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani elimu inayotolewa kwa Hali ya kawaida ukiangalia comment za watetezi wa huyu dada utaona kabisa haijasaidia kitu.

Ni wazi kabisa watu hawajaelimika chochote kuhusu hili gonjwa.

Hawajui maana ya self quarantine. Hawajui ukihisi dalili unapaswa kufanya Nini. Wao wanaamini wakipata dalili hapo hapo wanatakiwa kuchukua taxi au Boda kwenda hospitali.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa wana mlaumu huyo mama na wazungu wa zanzibar na Dar nao wamefanya makusudi
Watu wanasema huyo mama kafanya kusudi kuuleta ugonjwa. Kama sio kusudi
  1. Kwanini alipitilizia hotelini badala ya Kwake?
  2. Kwanini hakutaka aje apokelewe na ndugu zake wakati Ana gari?
Wamfiche huko maana watu wana usongo nae mno wanasema anafaa apigwe shaba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila Shaka utakuwa mfupi na kifutu, sijawahi kuona watu wa namna hii wakiwa na akili timamu.
Kote huko alikotoka wanatoa elimu kuhusu self quarantine, jee hivi alivyofanya ndio self quarantine just because she is a victim?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuachane na Isabela
Ila kwenye ufupi nimecheka sana
I am slim flani and tall hutoamini
 
Wewe dada sijui huwa unapata muda wa kujitathimini Mambo unayoandikaga huku?

Alijiquarantine hotelini? Hiyo hoteli alikodisha yote peke yake? Gari alilotumia alikodisha alitumie peke yake?

Hiyo akili yako inakwambia ndio self quarantine eti?

Kwamba ugonjwa ungekuja tu, kizembe hivyo? Na bado unajiona umeandika

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwali kashafika jmn tuhangaike nae tu!
Asingeuleta Isabella wangeuleta raia wa kigeni
 
Back
Top Bottom