Dereva taxi aliyemchukua ambaye sasa ni mgonjwa wa Corona, hana corona

Dereva taxi aliyemchukua ambaye sasa ni mgonjwa wa Corona, hana corona

Mkuu Hii ndio inatofautisha kati ya Mtu na Mtu, Mimi na wewe ni Tofauti, wewe na mwingine ni tofauti sana kwenye sekta ya Perspective ; Inawezekana wewe usiende; Ila mimi ninayo Perspective tofauti naweza nikaenda huko pasi na mashaka kabisa kufanya Biashara ya Mapanga na Vinoleo huko au Nikaenda kama Peace maker etc, nikiwa tayari nimebeba Risk ya Eneo husika.

Hivyo Scenario ya Swali lako wewe ni la Kimtazamo zaidi; na Suala la kimtazamo huwezi Tegemea jibu moja kati ya Mtu mmoja na mwingine Mkuu; na kwenye suala la Kimtazamo hakuna wrong wala right inategemea hoja yako iko vipi.
Na ndio maana Nikakwambia kwamba Sikupingi; Maana kwa kadiri ya Mtazamo wako wewe kwenye suala hilohilo ni tofauti na mtazamo wangu mimi. hata humu wapo wanolaumu Serikali, wapo wanaomlaumu isabela, Wapowanaolaumu Wachina kabisa, wapo wanaolaumu Rwanda Air etc. ni suala la PERSPECTIVE tu ndugu.

Si vyema sana Kufanya Judgmental kwenye suala la kimtazamo, maana inategemea Angle Muhusika Amekaa, na sio wewe umekaa.
Basi umemaliza Isabella tutamlaumu kwa kuleta Corona Tz!
 
Kwani nani alienda kujiuza?!
Profile ya Isabela yaonekana ni mwanamke mwenye uwezo

*mjahamiane-mjamiiane
Sasa mbona kwake ni karibu kwanini hakwenda kwake na ana miradi yake kwanini hakwenda hapo aende kwingine? Tunachosema angejali afya za wengine, kwani wanaojiuza hawana uwezo? Kuna watu wanafanya biashara hiyo kama starehe hujawahi ona mtoto ana hama nyumbani japo kuna kila kitu mpaka watu wanamshangaa kakosa nini, nakutakia mchana mwema!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanasema huyo mama kafanya kusudi kuuleta ugonjwa. Kama sio kusudi
  1. Kwanini alipitilizia hotelini badala ya Kwake?
  2. Kwanini hakutaka aje apokelewe na ndugu zake wakati Ana gari?
Wamfiche huko maana watu wana usongo nae mno wanasema anafaa apigwe shaba.

Hapana huyu mama hajafanya kusudi na Hana kosa.

Kwanza Kama visa yake iliisha na kupaswa kurudi nchini mwake ni lazima arudi vinginevyo angeweza kupata shida na mamlaka za uhamiaji huko alipokuwa.

Pili aliporudi aliamua kujiweka self quarantine kwa lengo la kuona Kama atakuwa na shida. Kumbuka hakuwa na familia zozote alipoingia nchini.

Na hata hotelini aliminimize movement. Imagine angeenda nyumbani Kisha akaanza kuingia sokoni, daldala, saloon,kanisani ingekuwaje.

Angekuwa anafanya makusudi angekuwa mdhururaji ili kuhakikisha anafanya maambukizi lkaini sivyo.

Kwangu Mimi nampongeza Sana Tena Sana kwa hatua aliyofanya kuepusha makubwa kuanzia familia yake, jamaa na marafiki. Na alionyesha uungwana kushirikiana na mmalaka husika pale alipoona dalili.

Tumpe hongera na badala ya kumlaumu.

By the way wengi wetu watapata huu ugonjwa lakini chanzo hakutakuwa huyu mama. Tusubiri muda ndio mwalimu
 
Waiter zungusha ,


NASUBILI VYUO VIKUU VIFUNGWE TU , MAANA NIME POSTPONE KISA KUSHINGWA KUMALIZIA ADA , THEN MWEZI WA 10 NDO VIFUNGULIWE .
Yametimia, sasa umefurahi? haya elezea hisia zako kwa sie tuliomaliza ada na tulitegemea mwzi wa saba tuwetumemaliza hayo masomo!!
 
Kumbe dereva taxi alimchukua abiria huyu tokea KIA moja kwa moja hadi Arusha hotelini.

Tokea hotelini alikwenda nyumbani kwake ambako ana mke na watoto 4. Wote hawa alishikana nao mikono.

Tokea nyumbani siku hiyo hiyo akapata abiria 2 kuwapeleka Karatu. Huko kuna shule ya watoto yatima ambako abiria hao 2 walikuwa wakienda.

Asubuhi watoto wote 4 wa dereva walielekea mashuleni kwao ambako maisha yaliendelea kama kawaida.

Kwa maelezo ya dereva taxi, wale walioenda kwenye ile shule wameshapatikana kule kwenye shule ya watoto yatima, lakini maisha yalishaendelea kama kawaida.

Hicho ndicho kipimo halisi cha mnyororo wa huu ugonjwa Corona ambao WHO imeuita kuwa ni janga la kimataifa.

Source: BBC Swahili leo.

Kwenu serikali, pasipo na kupepesa maneno hapa "inatakiwa kuwepo mkakati kamili sasa na kwa dharura kweli, si mkakati nusu nusu tena."

At this stage, "we urgently need a total strategy. A partial strategy is not an option anymore."
Sasa Mimi sijaelewa, hivi umeuliza swali au umetoa taarifa? Maaana heading na Maelezo ni vitu tofauti Kabisa maana umetoa taarifa kuwa hana corona, halafu huku unalalamika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu maza nyo.ko sana katia watu hasara sana kwa upuuzi wake wa kwenda sehemu hatarishi kipindi hiki. Halafu baada ya kujijua kaukwaa anajifanya kuepaepa kisanii, pumba.fffu sana huyu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You have to suggest type of strategy the government needs to take, eg, provision of nose/mouth masks, hands sanitizers, antiseptics, etc for public uses etc. Avoiding Unnecessary gatherings etc.
Uchaguzi uahirishwe na mikutano ya kisiasa,Mungu kachukia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You have to suggest type of strategy the government needs to take, eg, provision of nose/mouth masks, hands sanitizers, antiseptics, etc for public uses etc. Avoiding Unnecessary gatherings etc.
I would like to make suggestions:
Close the border and don't allow visitors from outside who are just coming for non essential and urgent business
Install and equip laboratories in all zone headquarters eg. Mwanza, Arusha/Moshi, Mbeya and Dodoma instead of depending on one from Dar
Check all buses that they have all necessary sanitation accessories and ensuring spacing of pax
All offices, supermarket are not clouded and they have sanitize and thermo gun in each office, supermakert and thermal scanner at
the border, airport


1584536034607.png
1584536376562.png
1584536434051.png
 
Back
Top Bottom