dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
😅 😅 mda muafaka sasa uzi kuhamishiwa MMU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar mkuuNakubali kutusogezea ajira Vijana, tupe location mkuu ni mkoa gani.
aisee, ila we SI mwenyekiti wa chama Cha mkono bao na sheria ya kumwaga nje 😂😂😅 😅 mda muafaka sasa uzi kuhamishiwa MMU
😂😂😂, Day Leo umekamatikaa. But Iam single🤗sikumbuki mbona 😂
niko mbioni kuuvua uchama mzeemwenyekiti wa chama
hatimae.... ila ukipigwa tukio utarudi tuniko mbioni kuuvua uchama mzee
shem wako kani friendzone kimtindo, good news ni babe za hapa na pale zimeanza kwa mbaali
wiki hii au ya kesho tunaunganisha vikojoleo, Amen
PichaHabaei wanna jamii forums, katika harakati zangu za utafutaji nami nikaona sio mbaya kuanzisha kikampuni changu kidogo Cha usafirishaji.
Lengo ni kuendelea kujikomboa na circle ya umasikini, na hivyo nimeamua kuzitoa bajaji na bodaboda kwa kijana ataye weza kuendana na taratibu na sheria zetu.
👉Bajaji iliyopo ni namba b TV's, IPO vizurii kwa maana engine bado imara Sana na hata body yake ni ngumu bado.
👉 Bodaboda IPO namba c na d na zote ziko vyema so kwa atakaye hitaji au kuwa na ndugu mwenye uhitaji basi atanijuza hapa au pm.🙏
👉 I mean no malice to nobodyView attachment 2635187
sahihi, nacheki upepo kwanza hukohatimae.... ila ukipigwa tukio utarudi tu
kabisa usitupe ile babycare kwanza 😂sahihi, nacheki upepo kwanza huko
hapana sizitupi,kabisa usitupe ile babycare kwanza 😂
Pamoja chief💪Mzee wa no malice to anybody Ahsante kwa kutoa Mchongo
Picha ya nini mkuu 🤔, kuna taarofa siwezi vujisha. Mpaka kuelewana na mtu coz jf 🤔Picha
dronedrake Aisee😭😭 tunampoteza comrade na kamnda, adhabu yake utapiga puli kwa super glue😂🤗 mshamba_hachekwiniko mbioni kuuvua uchama mzee
shem wako kani friendzone kimtindo, good news ni babe za hapa na pale zimeanza kwa mbaali
wiki hii au ya kesho tunaunganisha vikojoleo, Amen
nakuona mzee wa 'sex is overrated' 😂Mzee wa no malice to anybody Ahsante kwa kutoa Mchongo
mwache bana aenjoy mapenzi binadamu hatoishi kwa puchu tudronedrake Aisee😭😭 tunampoteza comrade na kamnda, adhabu yake utapiga puli kwa super glue😂🤗 mshamba_hachekwi
nacheki upepo mzeedronedrake Aisee😭😭 tunampoteza comrade na kamnda, adhabu yake utapiga puli kwa super glue😂🤗 mshamba_hachekwi
Them go feel itmwache bana aenjoy mapenzi binadamu hatoishi kwa puchu tu
Halafu mkuu, hata mi ni mchimba chumvi tu 😂😂Nakubali kutusogezea ajira Vijana, tupe location mkuu ni mkoa gani.