Dereva wa gari okoa uhai kwa kufuata sheria za barabarani

Dereva wa gari okoa uhai kwa kufuata sheria za barabarani

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,662
Reaction score
6,888
Kuna sheria za barabarani zinazowaongoza madereva wa vyombo vya moto na baridi, pamoja na watembea kwa miguu. Ili kuokoa uhai, hasa wa watembea kwa miguu, ni vyema madereva kuzingatia kusimama kwenye alama ya pundamilia pale wavuka kwa miguu wanapokuwepo, hata akiwa mmoja. Na hii ni lazima. Wavuka kwa miguu wanapoona magari hayasimami wanakuwa frustrated na uvumilivu uwatoka na kuamua sasa kuvuka tu na kupelekea ajali.

Hata kama hakuna alama ya pundamilia, inashauriwa kusimama ambapo kuna watu hasa wengi wanataka kuvuka barabara.

Hivi nyie madereva hamvukagi barabara kwa miguu?
 
Ufahamu mdogo wa sheria za barabara, mishahara midogo, poor driving skills, full stress. Lazima watuchinjeni sana
 
Dereva amekusikia, mkuu. Bila shaka ^madudu^ ambayo CAG aliyabainisha yatafanyiwa kazi soon. Ngoja tungoje!

^Wametuchelewesha sana!^
 
Back
Top Bottom