Dereva wa Nape Nnauye apewe tuzo ya Uzalendo

Dereva wa Nape Nnauye apewe tuzo ya Uzalendo

Binafsi naogopa kuishi Tanzania, kwanini mimi nifurahi matatizo ya mtu.

Naweza ona sawa Napę kutumbuliwa atajijua yeye na mungu wake mbele ya safari kama kaboronga.

Lakini kujali na kufurahia anapungukiwa nini kwa kutokuwa waziri hizo ni tabia ambazo sizielewi.

Kwanini wewe ujali kupungiwa kwa mtu ambae humjui na atakae kuja kulamba asali pia humjui.

Nape ni poyoyo na linastahili kutumbuliwa, lakini kushereekea privilege anazokosa za uwaziri hizo ni tabia za umaskini tu.
 
Hata walinzi wake nyumbani walitakiwa kuondoka punde tu wakipata taarifa ya kutumbuliwa.
 
Ujasiri aliyo onesha ni wakupigiwa mfano. Lile Gari ni kwaajili ya Waziri na si vinginevyo hivyo baada ya utumbuzi ilitakiwa alikimbize parking sio kubeba mtu ambaye hana cheo chochote wizarani.

Kuna watu unaweza kuwapa lifti ukaishia kukabwa na kuibiwa maana wana uzoefu wa wizi na utapeli.
Hivi 2025 Nape awe ndiyo waziri mkuu, asante huyo Dereva atajisikiaje na je Nape hatataka kulipa kisasi kwa sababu ya kuachwa usiku wa manane ukumbini 2024 July?
 
Mzalendo alikuwa Sokoine tu aliyekufa kazini huku akiwa anamiliki pair moja tu ya viatu.

Hao kina dereva wa Nape ni majizi tu yanaiba mafuta yanauza na kwenda kula bata na michepuko.
Du hiyo kumiliki pair moja ya kiatu sio uzalendo, hiyo ni roho ya umaskini angekuwa rais watu wangekoma, angetaka kila mtu awe maskini.
 
Nani aliwaambia nape maskini anategemea magari ya serikali mwenzenu amechota awezavyoo hadi keroo
 
Mbona hili swala ni kama tetesi, wabingo wana smart phone muda wote kwamba siku hiyo Nepi anatoka hapo ukumbin had kupanda alolichopanda hakupigwa pcha
 
Back
Top Bottom