Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ALiita uba yangu nkatonywa nkaomba cash kabisa akawa hana ,akaingia kabisa kwenye gari nkakumbuka alikili huwa anaiva kura nkajiuliza huyu si ataiba saiti mirror nkamuacha pale soko la samaki feli apande mwendokasiKwahiyo sasa jamaa ilikuwaje pale aliondoka na bajaji au aliiita UBA...!
Niamini dereva atakuwa alishampigia simu na kumpa pole na nape anajua madereva wa mawaziri wote nyoka wa kumchunguza waziri.lazima alipewa maelekezo ipelekwe mara mojaDunia duara,huwezi kujua kesho Nape atakuwa nani.
Dereva alipaswa kumrejesha nyumbani kwake salama.na ku -sign- off
Mchumi namba moja aliachwa kakonko ?Huyu si wa kwanza, madereva wanatambua wajibu wao. Kumbuka Mh. Mwiguru aliwah kuachwa Kigoma!
We jamaa hapo kwenye ZUTU umenikubusha mbali sanaWaonyeshe Uzalendo pia kwenye mafuta acheni kuiba Zutu. Uzalendo uwe kwenye kila jambo.
Ujasiri aliyo onesha ni wakupigiwa mfano. Lile Gari ni kwaajili ya Waziri na si vinginevyo hivyo baada ya utumbuzi ilitakiwa alikimbize parking sio kubeba mtu ambaye hana cheo chochote wizarani.
Kuna watu unaweza kuwapa lifti ukaishia kukabwa na kuibiwa maana wana uzoefu wa wizi na utapeli.