Dereva wa Nape Nnauye apewe tuzo ya Uzalendo

Dunia duara,huwezi kujua kesho Nape atakuwa nani.
Dereva alipaswa kumrejesha nyumbani kwake salama.na ku -sign- off
 
Dunia duara,huwezi kujua kesho Nape atakuwa nani.
Dereva alipaswa kumrejesha nyumbani kwake salama.na ku -sign- off
Niamini dereva atakuwa alishampigia simu na kumpa pole na nape anajua madereva wa mawaziri wote nyoka wa kumchunguza waziri.lazima alipewa maelekezo ipelekwe mara moja
 
Hapa hakunna cha uzalendo bali ndo taratibu zilivyo kwa madereva wote serikali na angekua mjinga asinge ondoka
 
Ushahidi kwamba niliondoka nikamuacha bosi mtumbuliwaji uko wapi wazee!? Acheni kunichawia basi😎😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…