TANZIA Derrick Magoma wa Chadema Afariki Dunia

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa ya Chadema inayosambaa Mitandaoni inaeleza Kwamba, Derrick amefikwa na Umauti kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, haikutajwa sababu ya kifo hicho.



Kwa Vile kufanya kazi ya Chadema ni kufanya kazi ya Mungu basi hatuna Mashaka na Mahali ambako Roho ya Derrick itapelekwa.

 
Zamani nilidhani kama wewe kwa CCM, baada ya kuona Magufuli has gone nilifuta hii dhana!
Nilidhani wana chadema huwa hawafi (joking msiniponde mawe).
Alale salama kamanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…