UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Wanafurahia vifo vya wenzao utafikiri wao hawakufi. Nyumbu ni wajinga sana.Wewe kasirika tu mkuu😀.
Mimi sio kada wa ccm. Nimesema hivyo kwasababu chadema huwa wanafurahia vifo vya wana ccm.
Njoo basi tunywe beer
mpaa wewe 2025 uifika basi ukilemaNilidhani wana chadema huwa hawafi (joking msiniponde mawe).
Alale salama kamanda.
Kajifunze kwanza kuandika vizuri.mpaa wewe 2025 uifika basi ukilema
Mpaa wewe ukifika 2025 kama sio kilema tupo hapa au kifo kwa joke.Kajifunze kwanza kuandika vizuri.
Dua la kuku halimpati mwewe
Alafu kwa nini kidole kinapoingia vizuri mnajua kusoma makosa kuandikaKajifunze kwanza kuandika vizuri.
Dua la kuku halimpati mwewe
Madole ya kazi gani sasa na weweAlafu kwa nini kidole kinapoingia vizuri mnajua kusoma makosa kuandika
Uliwezaje kusoma ukweli ukajua sijui kuandika sasaMadole ya kazi gani sasa na wewe
Una ubishi wa kitoto..am out of here.Uliwezaje kusoma ukweli ukajua sijui kuandika sasa