Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Ndiyo tungesema hivyo kwa kuwa Magufuli alikuwa muuajiEnzi za JPM mngesema ameuawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo tungesema hivyo kwa kuwa Magufuli alikuwa muuajiEnzi za JPM mngesema ameuawa
Ooh samahani, hakuna aliyewahi kupigwa risasi nadhani uko sahihi mkuu.So huyu kapigwa risasi na nani?
Wewe ni li pumbavu"Na anayetamani dini isiyokuwa Uislamu, basi haitakubaliwa kwake, na Akhera atakuwa miongoni mwa waliopata hasara."
Kifo cha mwanachadema mmoja ni sawa na wana CCM 100Going the soonest.
Rest Easy son
Waliopigwa risasi wanajijua na wengine wanajulikana. Huyu amekufa kifo cha aina gani? Nieleweshe...Ooh samahani, hakuna aliyewahi kupigwa risasi nadhani uko sahihi mkuu.
CCM majangiliSiku mwanaccm akifa mnaonyesha kufurahia mnakuwaga wachawi pia. Mimi sijabase upande wowote nilitaka tu kuwakumbusha kwamba hata nyie mtafiwa
Huyu dogo na mzee Kibao wameuawa na nan?Ndiyo tungesema hivyo kwa kuwa Magufuli alikuwa muuaji
Ila akina JPM ndiyo hufaNilidhani wana chadema huwa hawafi (joking msiniponde mawe).
Alale salama kamanda.
Kila nafsi itaonja umauti ndrugu zangu.Taarifa ya Chadema inayosambaa Mitandaoni inaeleza Kwamba, Derrick amefikwa na Umauti kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, haikutajwa sababu ya kifo hicho.
View attachment 3230298View attachment 3230301
Kwa Vile kufanya kazi ya Chadema ni kufanya kazi ya Mungu basi hatuna Mashaka na Mahali ambako Roho ya Derrick itapelekwa.
View attachment 3230308
Unajua unachouliza mkuu. From Magufuli hadi leo kusanya vifo vya wapinzani kwa ujumla ni vingi na wajane na yatima wamejazana mtaani kwa ukichaa wa uongozi wa kijinga wa mtu mweusi eti uhasama wa kisiasa. Ndiyo maana Trump anatutukanaWaliopigwa risasi wanajijua na wengine wanajulikana. Huyu amekufa kifo cha aina gani? Nieleweshe...
Kwamba wao natural death imesamehewa kwao..wanakufa kwa kuuwawa tu
Hata uzi wa papa walicoment watu 100 je una maoni gani?Jana kuna mtu mkubwa taarifa za kifo zimetangazwa humu. Nenda kafungue ule uzi ndio utaona tofauti ya Mtu wa Mungu na mtu wa miungu. Ule uzi wamekomenti hawazidi 10.
Sijabisha hao wengine. Vipi kuhusu huyu?Unajua unachouliza mkuu. From Magufuli hadi leo kusanya vifo vya wapinzani kwa ujumla ni vingi na wajane na yatima wamejazana mtaani kwa ukichaa wa uongozi wa kijinga wa mtu mweusi eti uhasama wa kisiasa. Ndiyo maana Trump anatutukana
Sijamjadili marehemu unless una ligi kwa mambo ya wazi Kiongozi wangu.Sijabisha hao wengine. Vipi kuhusu huyu?
Sina ligi yoyote. Nilikuwa nawakumbusha kwamba kila mtu atafiwa.Sijamjadili marehemu unless una ligi kwa mambo ya wazi Kiongozi wangu.
Nimemuomba yeye sio weweDuuh bia tena?
Unataka bia ngapi?Nimemuomba yeye sio wewe
Sinywi bia mimiUnataka bia ngapi?
Nitakupa K Vant hapo najua haurukiSinywi bia mimi