Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Kiranga ana hoja..asikilizweHiyo lazima.
cc;kiranga na jamaa zake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiranga ana hoja..asikilizweHiyo lazima.
cc;kiranga na jamaa zake.
Nchi lazima ichangamke.Hatuwezi kukaa kizobazoba bila matamko na mikwara ya maandamano.Tutakuwa wajinga sana.Hata sasa wanaweza kuwa wanajipanga kutoa "tamko" ha ha ha ha, wazee wa matamko.
Hasikilizwi ni mwehu anayefundisha watu kukufuru.Kiranga ana hoja..asikilizwe
Hivi mjinga kama wewe hata kama mtu atakuponda mawe, si atakuwa amekuonea tu? Ni wapi uliona Chadema wameandika kuwa hawafi au wanapenda wana CCM wafe? Magufuli alipokufa watu walio ndani ya CCM ndiyo wa kwanza kushangilia na kusema Mungu kaamua ugomvi! Kwa nini unataka kuwasingizia Chadema?Wewe kasirika tu mkuu😀.
Mimi sio kada wa ccm. Nimesema hivyo kwasababu chadema huwa wanafurahia vifo vya wana ccm.
Njoo basi tunywe beer
Mi namuelewa. Kila mtu aamini anachokitaka. TusilazimishaneHasikilizwi ni mwehu anayefundisha watu kukufuru.
Do not take things too personal mkuu.Punguza wahka.Hivi mjinga kama wewe hata kama mtu atakuponda mawe, si atakuwa amekuonea tu? Ni wapi uliona Chadema wameandika kuwa hawafi au wanapenda wana CCM wafe? Magufuli alipokufa watu walio ndani ya CCM ndiyo wa kwanza kushangilia na kusema Mungu kaamua ugomvi! Kwa nini unataka kuwasingizia Chadema?
Mbunge wa Manyara ni nani Kumbe? Kuna yule wakili pia alikutwa amefariki....anyway Rest well kamandaTaarifa ya Chadema inayosambaa Mitandaoni inaeleza Kwamba, Derrick amefikwa na Umauti kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, haikutajwa sababu ya kifo hicho.
View attachment 3230298View attachment 3230301
Kwa Vile kufanya kazi ya Chadema ni kufanya kazi ya Mungu basi hatuna Mashaka na Mahali ambako Roho ya Derrick itapelekwa.
View attachment 3230308
Relax ndugu. Acha makasiriko life is too short.Hivi mjinga kama wewe hata kama mtu atakuponda mawe, si atakuwa amekuonea tu? Ni wapi uliona Chadema wameandika kuwa hawafi au wanapenda wana CCM wafe? Magufuli alipokufa watu walio ndani ya CCM ndiyo wa kwanza kushangilia na kusema Mungu kaamua ugomvi! Kwa nini unataka kuwasingizia Chadema?
Mwache apunguze stress ni sawa tu.Do not take things too personal mkuu.Punguza wahka.
Sawa.Ila una sehemu yako mbinguni usiipoteze.Mi namuelewa. Kila mtu aamini anachokitaka. Tusilazimishane
Sawa mwerevu,naona umepanikiSwali lako ni la kijinga
Sijachukulia personal ila nimemwambia ukweli. Unajua Tanzania kuna ujinga mwingi sana.Do not take things too personal mkuu.Punguza wahka.
Ukideal na kila mjinga hapa Tanzania utapata taabu sana.Sijachukulia personal ila nimemwambia ukweli. Unajua Tanzania kuna ujinga mwingi sana.
Sijasema nita-deal na kila mjinga. Nita-deal na wale walio mbele yangu tu tena kama nina muda na uwezo.Ukideal na kila mjinga hapa Tanzania utapata taabu sana.
Mungu amejificha haonekani........viipi tusheherekee kifo chake kama wapumbavu wa chadema kwa vifo vya wengine .....Taarifa ya Chadema inayosambaa Mitandaoni inaeleza Kwamba, Derrick amefikwa na Umauti kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, haikutajwa sababu ya kifo hicho.
View attachment 3230298View attachment 3230301
Kwa Vile kufanya kazi ya Chadema ni kufanya kazi ya Mungu basi hatuna Mashaka na Mahali ambako Roho ya Derrick itapelekwa.
View attachment 3230308
Sawa sawa mkuu. Hopefully utaweza kuondoa ujinga ndani yao.Sijasema nita-deal na kila mjinga. Nita-deal na wale walio mbele yangu tu tena kama nina muda na uwezo.