didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
RIP MCHADEMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh bia tena?ninunulie bia nikusamehe
We kila kitu JPMEnzi za JPM mngesema ameuawa
"Kila nafsi itaonja mauti, na kwa hakika mtapewa ujira wenu kamili siku ya Kiyama. Basi, atakayeepushwa na Moto na akaingizwa Peponi, huyo ndiye aliyefanikiwa. Na maisha ya dunia si chochote ila ni starehe ya udanganyifu. QuranTaarifa ya Chadema inayosambaa Mitandaoni inaeleza Kwamba, Derrick amefikwa na Umauti kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, haikutajwa sababu ya kifo hicho.
View attachment 3230298View attachment 3230301
Kwa Vile kufanya kazi ya Chadema ni kufanya kazi ya Mungu basi hatuna Mashaka na Mahali ambako Roho ya Derrick itapelekwa.
View attachment 3230308
"Na anayetamani dini isiyokuwa Uislamu, basi haitakubaliwa kwake, na Akhera atakuwa miongoni mwa waliopata hasara."Pumziko La Amani Apate.
Inasikitisha sana mkuuWe kila kitu JPM
Ni makosa kidogo ya uandishi tuMbona tarehe imeandikwa ya zamani sana, 9 Januari?. Hii imenikumbusha taarifa iliyowahi kutolewa na CCM ikawa imekosewa tarehe then wanasiasa fulani fulani wakaanza kusema ilikuwa imeshapangwa siku nyingi na lile tukio liliratibiwa.
Sasa chadema hii taarifa yenu wanasiasa nao.wakianza kusema yale yale mtakuja kujitetea au kutia huruma na kulalamika hovyo?.
Lengo labgu ni kukumbusha na kuzidi kuonesha kuwa wakati mwingine kabla hatujaanza kutumia matukio kujinufaisha kisiasa tufikiri sana matokeo yake na uhalisia wa mambo.
Mwenyezi Mungu ampe pumziko jema mja wake huyu.
Inabidi tukachukue kadi za uanachama wa chadema mana ndio tiketi ya kuingia kwa Sir God 😎Sawa sawa kamanda. Ni jambo la kheri.
Kuwa mwanachadema staight mbinguni. Imekaa vizuri hii😀😀
Hakuna namna twenzetu mkuuInabidi tukachukue kadi za uanachama wa chadema mana ndio tiketi ya kuingia kwa Sir God 😎
Na kukufuru ni dhambi isiyosameheka hata ukitubu.Hasikilizwi ni mwehu anayefundisha watu kukufuru.
We toa R.I.P acha manenoIla chadema mna akili mbovu sana ...mbona kama umeleta taarifa kiugomvi na kwa mashaka
Jana kuna mtu mkubwa taarifa za kifo zimetangazwa humu. Nenda kafungue ule uzi ndio utaona tofauti ya Mtu wa Mungu na mtu wa miungu. Ule uzi wamekomenti hawazidi 10.Mungu amejificha haonekani........viipi tusheherekee kifo chake kama wapumbavu wa chadema kwa vifo vya wengine .....
Wauaji ndiyo huwa wanaamini kuwa wao na hao wanaowatuma huwa hawafi. Lakini kama unaamini kifo ni njia ya kila mwanadamu, huwezi kumwua binadamu mwenzako ukidhani kuwa ni adhabu au njia ya kumkomoa au kumkomesha.Nilidhani wana chadema huwa hawafi (joking msiniponde mawe).
Alale salama kamanda.
Wanakufa zaidi kwa risasi za wasiojulikana na kutupwa maporini, ndiyo maana hatuhudhurii misiba yao, wanaozika maporini ni Simba, fisi na mbwa mwitu.Nilidhani wana chadema huwa hawafi (joking msiniponde mawe).
Alale salama kamanda.
So huyu kapigwa risasi na nani?Wanakufa zaidi kwa risasi za wasiojulikana na kutupwa maporini, ndiyo maana hatuhudhurii misiba yao, wanaozika maporini ni Simba, fisi na mbwa mwitu.
Wachawi hamjifichiNilidhani wana chadema huwa hawafi (joking msiniponde mawe).
Alale salama kamanda.
Siku mwanaccm akifa mnaonyesha kufurahia mnakuwaga wachawi pia. Mimi sijabase upande wowote nilitaka tu kuwakumbusha kwamba hata nyie mtafiwaWachawi mjifichi