Mmmmh kwani yeye mod?hahahah espy acha kunichekesha mm sina biashara nae yoyote alisema siku nikipewa ban nimwambie anajua cha kuwafanya
Tangu lini wewe mod?wasi wasi wako nini?
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]tumebaki macho wangapi tunaweza kuhamia hata whatsapp
[HASHTAG]#fursa[/HASHTAG] pia usiku mrefu
Mpenzi ndio kusema uzee unakujia vibaya au? Mie sijasema hivyo.umesema unataka tuchovye wanne kwa kupokezana inauma kusikia pia inatisha
Mamii yaai unafurahia kweli[emoji24] [emoji24] [emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yep....[emoji257] [emoji257] [emoji255] [emoji255]hahahhah fakalava buana
Mkuu tulia shem, starring nimerudi.Kama humpend vile
Hapa sijui umenisifia au umeniua... Ngoja nimuachie Mungu.Kwangu wa kwanza BAK kwanza nionavyo atakuwa umri umeenda kwani ana heshima zake pia ni mfuatiliaji mzuri wa mambo ya siasa , mpenda mpira pia nionavyo na kwenye muziki hayupo nyuma. Kiufupi huwa nafurahi nikiona michango yake popote lazima niipitie kwani najua nitapata kitu sitaondoka bure.
Wa pili ni huyu mtu mmoja Bonny sijui huwa anajichimbiaga wapi mana anaonekana kwa mikatiko , nionavyo naye huyu anajielewa ndio mana anapenda kuchagua thread za kucomment japo kwa upande mwingine naye ni kama Asprin mana ukiingia kwenye anga zake utajuta kwa hayo mashushu na maneno ya mkato.
Wapo wengine wengi ila ndio idadi inabana. Sakayo
Shunie
Raimundo
Numbisa
Asprin
Bob12
Transcend na wengine wengi pia nawakubali vibaya mno.
Hahahahahaa.... hahahahaha DAh!!!1. Asprin.
Huyu jamaa kwanza ni swahiba wangu. Kwa wasiomkumbuka alikuwa anaitwa Chrispin enzi zilee. Anapenda sketi saana saana. Kuna siri kibao nimemfichia kwa shemeji yangu kiasi kwamba akinimind tu nasema na ataachika soon.
Anapenda kuongea pumba saana na ukifuatilia post zake utaishia kucheka. MO11 anatabia zinazofanania na huyu ila sema mo11 mdomo wake mzito[emoji23][emoji23]. Ila wapo smart saana wawapo serious.
2. Shunie. Haka kadada ka tanga aseeh kanachekesha saana. Kwanza muda wote kapo online JF nafikir mchuchu wake anakaribia kufilisika[emoji16] kwa bundle.kama hakanunuliwi bundle kaje kabishe hapa.
Ukikatania kukatongoza basi katakujibu kwa unyonge hadi unakaonea huruma. Nafikiri kanaheshimu mahusiano yake maana viwembe wa jf kama Saint Ivuga ameshindwa kukachukua.
Hahahaha mkuu umeingizwa chaka... mimi ni mtumishi wa parokia.Daby, I can't you....Seriously uko juu! Leo kidogo siku imekuwa nzito na kiza kilitanda kitika mood na everything kwangu (toka asubuhi) ,,Ila sasa kwa narratives zako umenifuraisha..Bravo! Lbda Asprin au Shunie wawe na yao...
Na mimi??? Usifanye ubaguzi bhanaa....Nilitegemea swali hilo ndio mana nakakuweka pembeni sijakutaja.
Nawe pia Daby kwangu ni mtu wa nguvu kwani kwa nionavyo comment zako bado ni kijana japo tulijiunga mwaka mmoja jf unaonekana una roho nzuri ya kusaidia watu na huna uchoyo wa kumpa darasa kwa asichokijua mtu hasa kwa mambo yahusuyo jf kwa ujumla.
Una roho ya kipekee kwa kweli.
Nimejikuta nacheka kwenye Jumuiya mpaka glasi yangu ya Konyagi imedondoka....geniveros huyu mtu hata sielew ilianzaje ila ghafla tukajikuta ni.marafik wa Karibu sana ki ukwel kwa jinsi nnavyomuona atakua mama fulan hv mwenye heshima zake ambae busara imejaa ila tu kwa story za celebrities tu namuona kama.wale ndugu zangu wa tandale kwa bi nyau maana humkos kwenye post za wema diamond na bongo muvie yote ila naamin Ana roho nzur tu
emmyta kwanza kwa maono yangu binti fulan muoga hv kila nikiangalia avatar naona kabisa mshika Dini ila muoga fulan wa ku comment ila naamin kuna maeneo ukimgusa bas utaona upande wake wa pili MMU Ndio jukwaa lake la kujiskia
Asprin baba la baba mtu mzima fulan ila ni wale wazee vijana huwez kumpiga fix kirahis na kizembe zembe akakubal yuko Vizur kwa totoz na anamain yeye kama wine anavyozeeka ndio anavyozid kuwa McHaro
Shunie tya02 Daby eddy muhando fakalava Raimundo espy nikipewa nafas ya upendleo ntawaelezea vizur
Ila jamaa yangu, kuna mtu kaniharibia. Ananiita mi mzee wakati mwezi ujao ndo nafikisha miaka 75. Nimegundua ChitChat kuna uchochezi... nami nasema siwaachii hawa warembo. Tutabanana hapahapa mpaka emmyta awe mkuu wa Wilaya.Mzee mwenzangu naona umetuweka viitikio.
Ila Asprin bhana anachekesha saana huyu jamaa.
Kabisa mana saa ingine unajikuta hata huko whatsapp hujaingia mara nyingi kama ilivyo jf.
Nitafurahi aisee tena ya kule kwenye mji uliotikisa alikosoma mheshimiwaIla jamaa yangu, kuna mtu kaniharibia. Ananiita mi mzee wakati mwezi ujao ndo nafikisha miaka 75. Nimegundua ChitChat kuna uchochezi... nami nasema siwaachii hawa warembo. Tutabanaa hapahapa mpaka emmyta awe mkuu wa Wilaya.
Sijakufanyia ubaguzi babu nataka we uwe kwenye ile page ya mwisho kabisa ndio saizi yakoNa mimi??? Usifanye ubaguzi bhanaa....
Basi sawa, hakika wewe na mimitutakuwa sote kwenye ufalme wa mbinguSijakufanyia ubaguzi babu nataka we uwe kwenye ile page ya mwisho kabisa ndio saizi yako
Kweli kabisaBasi sawa, hakika wewe na mimitutakuwa sote kwenye ufalme wa mbingu
naweza kumwambia babu, ni kitu gani kimekuamsha mapema namna hii??Kweli kabisa