Describe and explain anything about HIm/HEr

Describe and explain anything about HIm/HEr

1:ben milazo
2:ben milazo
nimesemaa ben milazo yani ben milazo in jpm voice
 
Kwangu wa kwanza BAK kwanza nionavyo atakuwa umri umeenda kwani ana heshima zake pia ni mfuatiliaji mzuri wa mambo ya siasa , mpenda mpira pia nionavyo na kwenye muziki hayupo nyuma. Kiufupi huwa nafurahi nikiona michango yake popote lazima niipitie kwani najua nitapata kitu sitaondoka bure.

Wa pili ni huyu mtu mmoja Bonny sijui huwa anajichimbiaga wapi mana anaonekana kwa mikatiko , nionavyo naye huyu anajielewa ndio mana anapenda kuchagua thread za kucomment japo kwa upande mwingine naye ni kama Asprin mana ukiingia kwenye anga zake utajuta kwa hayo mashushu na maneno ya mkato.

Wapo wengine wengi ila ndio idadi inabana. Sakayo
Shunie
Raimundo
Numbisa
Asprin
Bob12
Transcend na wengine wengi pia nawakubali vibaya mno.
Hapa sijui umenisifia au umeniua... Ngoja nimuachie Mungu.
 
1. Asprin.
Huyu jamaa kwanza ni swahiba wangu. Kwa wasiomkumbuka alikuwa anaitwa Chrispin enzi zilee. Anapenda sketi saana saana. Kuna siri kibao nimemfichia kwa shemeji yangu kiasi kwamba akinimind tu nasema na ataachika soon.

Anapenda kuongea pumba saana na ukifuatilia post zake utaishia kucheka. MO11 anatabia zinazofanania na huyu ila sema mo11 mdomo wake mzito[emoji23][emoji23]. Ila wapo smart saana wawapo serious.

2. Shunie. Haka kadada ka tanga aseeh kanachekesha saana. Kwanza muda wote kapo online JF nafikir mchuchu wake anakaribia kufilisika[emoji16] kwa bundle.kama hakanunuliwi bundle kaje kabishe hapa.

Ukikatania kukatongoza basi katakujibu kwa unyonge hadi unakaonea huruma. Nafikiri kanaheshimu mahusiano yake maana viwembe wa jf kama Saint Ivuga ameshindwa kukachukua.
Hahahahahaa.... hahahahaha DAh!!!

Swahiba ushaniharibia move kwa michuchu ujue....

Ila nshakustukia unataka kututoa kwenye sakata la vyeti na bastola...
 
Daby, I can't you....Seriously uko juu! Leo kidogo siku imekuwa nzito na kiza kilitanda kitika mood na everything kwangu (toka asubuhi) ,,Ila sasa kwa narratives zako umenifuraisha..Bravo! Lbda Asprin au Shunie wawe na yao...
Hahahaha mkuu umeingizwa chaka... mimi ni mtumishi wa parokia.
 
Nilitegemea swali hilo ndio mana nakakuweka pembeni sijakutaja.

Nawe pia Daby kwangu ni mtu wa nguvu kwani kwa nionavyo comment zako bado ni kijana japo tulijiunga mwaka mmoja jf unaonekana una roho nzuri ya kusaidia watu na huna uchoyo wa kumpa darasa kwa asichokijua mtu hasa kwa mambo yahusuyo jf kwa ujumla.

Una roho ya kipekee kwa kweli.
Na mimi??? Usifanye ubaguzi bhanaa....
 
geniveros huyu mtu hata sielew ilianzaje ila ghafla tukajikuta ni.marafik wa Karibu sana ki ukwel kwa jinsi nnavyomuona atakua mama fulan hv mwenye heshima zake ambae busara imejaa ila tu kwa story za celebrities tu namuona kama.wale ndugu zangu wa tandale kwa bi nyau maana humkos kwenye post za wema diamond na bongo muvie yote ila naamin Ana roho nzur tu

emmyta kwanza kwa maono yangu binti fulan muoga hv kila nikiangalia avatar naona kabisa mshika Dini ila muoga fulan wa ku comment ila naamin kuna maeneo ukimgusa bas utaona upande wake wa pili MMU Ndio jukwaa lake la kujiskia

Asprin baba la baba mtu mzima fulan ila ni wale wazee vijana huwez kumpiga fix kirahis na kizembe zembe akakubal yuko Vizur kwa totoz na anamain yeye kama wine anavyozeeka ndio anavyozid kuwa McHaro

Shunie tya02 Daby eddy muhando fakalava Raimundo espy nikipewa nafas ya upendleo ntawaelezea vizur
Nimejikuta nacheka kwenye Jumuiya mpaka glasi yangu ya Konyagi imedondoka....

Swahiba ule waraka wetu tuutoe baada ya sakata la Bastola au tusubirie mpaka Mwigulu atumbuliwe??
 
Mkuu Daby (sijui kwanini nimekuita mkuu)

Naomba ruhusa yako unipe wiki moja nikuletee wasifu wa wafuatao ambao nawajua kimwili na kiroho.

geniveros (mama wa watoto wangu)
Honey Faith (mama lishe, mwizi wa vitumbua)
Sakayo (Sabuni ya roho yangu)
emmyta (mwimba taarab wa TOT)
espy (Mkeketaji na Ngariba wa kujitolea)
Heaven on Earth (Mahabuba nyongo mkalia ini)
Heaven Sent (Mpiga chabo wa gesti za uswazi)
Numbisa (Mhariri wa gazeti la Ijumaa kitengo cha Shilawadu)
miss chagga (sista anitafutiaye michepuko)
Shunie (Nyumba ndogo wa Mod Jukwaa la wakubwa)
Evelyn Salt (Mfundaji wa kitchen party)
Sky Eclat (Daktari wa Faru John)
CHIKIRA MTABARI (mdokozi wa futari)

Nikimaliza kuwadadavua hawa, ntaomba idhini yako niwadadavue wale tunaopigana vikumbo kumendea watajwa hapo juu, bila kuzingatia itifaki.
 
Back
Top Bottom