Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Eeeh mbona me sina taarifaWewe huyo naona kuna mwenzangu amekuja kumaliza kaz kabisa so wajibu wangu ni kukuchangia tu
Haha afu si born town yule, basi akupe story za wadada wa mjini wa enzi hizo; tuliokuja town na malorry ya kabichi tunatoaga tu macho
DahhhhhhhhhhhShe has:
1. A long straight beautiful neck with little rings round her.
2. She has sweet beautiful shy calling eyes.
3. She has small sweet lips.
4. She has a thin waist but thick sexy curve hips.
5. When walks she moves her waist such that she course vibrations on her behind..
6. She is very shy when speaking and cant look straight to your eyes until you hold her face up and look into her then she looks at you with shy.
7. She is very charm when you push her to her limits.
8. When you hold her tight she never want to let you go.
9. She likes to be open when she is in love...
10. She is very sensitive... She cries when you heart her. But she is easy to say sorry and admit her mistakes when she is wrong.
11. She is good in...
Cc:mahondaw
Miss u so muchhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhNgoja kwanza uzi uchanganye nitarudi.
Aah binamu yangu is a woman and a half afu mzungu wa roho sana. Ahha ubuyu kiasi muhimu kwa afya tehHa ha ha ha et malory ya kabichi, inabd na nmfolow kabisa na ku subscribe
Ila uzur mungu kamuumba na roho njema kwa kwel ni huo mdomo tu wa celebrites
Naona anatuletea swagga za kikoromijeAhaa sasa hilo labda aulizwe mzaz wako alimaanisha nn
Au hapend tuendlee kuwepo pamoja
espy njoo tu useme why ulisema hayo yote
Naona anatuletea swagga za kikoromije
Mmh sio kwa anavyonipakaziaHa ha ha hakawii kuja kusema atakupa laana maana ndio mikwara yake
Mmh sio kwa anavyonipakazia
Kweli nimeaminiSi huwa unamtetea mama yako sasa umeamin kwann huwa nampinga siku zote
Nilisema akitoka kwangu atakuja na kwako sasa kashafika
Hapa panahitaji maombi. Ngoja nielekee mlimani...Dahhhhhhhhhhh
I will be back Smart911 ngoja kwanza niende kwenye kioo
Asante sana Smart911
Watu wataniroga mwaka huu hakyamungu misifa yote hii dahhhhhhhhhhh
I don't know what to say yani
I'm speechless Super dear
Nina furaha mpaka najisikia kulia mwenzio
Let me declare this thing here
I love you Smart911
Love you for real
Hapa ntahitaji maelezo ya kina...Miss u so muchhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
Hapa panahitaji maombi. Ngoja nielekee mlimani...
Hayo mapenzi mubashara sikumbuki kama yana kibali changu.Maombi ya nini babuu???
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Hapa ntahitaji maelezo ya kina...
Bado sijaridhika na haya majibu yako[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Unatakaje ss jamn mweeBado sijaridhika na haya majibu yako
Usijali babu itifaki inazingatiwaHayo mapenzi mubashara sikumbuki kama yana kibali changu.