Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Kwanini hunimiss mimi? Hili ndo kosa lako unalopaswa kuliombea radhi...Unatakaje ss jamn mwee
Mm c mmemiss tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini hunimiss mimi? Hili ndo kosa lako unalopaswa kuliombea radhi...Unatakaje ss jamn mwee
Mm c mmemiss tu
Usijali babu itifaki inazingatiwaHayo mapenzi mubashara sikumbuki kama yana kibali changu.
Huwezi kwenda kwa watu kabla sijakukagua. Staki ukaniaibishe ukweni...Usijali babu itifaki inazingatiwa
Wee jiandae kupokea mgeni tu
Im sorryKwanini hunimiss mimi? Hili ndo kosa lako unalopaswa kuliombea radhi...
Hahahahahaa.... hahahahaha DAh!!!
Swahiba ushaniharibia move kwa michuchu ujue....
Ila nshakustukia unataka kututoa kwenye sakata la vyeti na bastola...
Ewaaa... hapo sawa. Nakutangazia ondoleo la dhambi zote ulizotenda na utakazotenda mpaka mwezi ujao tarehe 15.Im sorry
Nakumisi zaidi
Wakongwe wameshaingia mitini. Mambo ya menopozi si unayajua?? Tubanane hapahapa kwa michuchuz.. si unajua kizuri mtu hula na nduguye???Hahahaha
Swahiba katiba ya humu si ilisha state wewe unabaki na wakongwe mimi nabaki na hawa wapya.
Bastola na vyeti vipo pale pale huku tunapunga upepo halafu tu narudi.
Oooh thank u babe, ila ungesogeza hadi JuneEwaaa... hapo sawa. Nakutangazia ondoleo la dhambi zote ulizotenda na utakazotenda mpaka mwezi ujao tarehe 15.
Haya come this way, baby.
Nadhani hujajua neno "mwezi ujao" ni relative term... stuka mamii... think!Oooh thank u babe, ila ungesogeza hadi June
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Nadhani hujajua neno "mwezi ujao" ni relative term... stuka mamii... think!
Loooh mkuu umeniacha nicheke kwa sauti wallahI am new here but walioniinspire Ni:
Stunter:napenda his comments anajipanga ndio anatype.
Ukhty: yuko vzur ktk majibu ya ghafla inaonyesha ana akili nzr huyu mtu km mm.
Else or otherwise I love you all and naipenda jf
Swahiba mimi sikuwezi...Im sorry
Nakumisi zaidi
Wakongwe wameshaingia mitini. Mambo ya menopozi si unayajua?? Tubanane hapahapa kwa michuchuz.. si unajua kizuri mtu hula na nduguye???
Hivi nilikuambia ni mchango wa nini au unajijua kuwa we mwenyewe ushajichoka!!Wewe huyo naona kuna mwenzangu amekuja kumaliza kaz kabisa so wajibu wangu ni kukuchangia tu
Marahabaaaaa dota.Khaaaaaaaa[emoji27] [emoji27]
Naona unabadili gia angani enheee?Hivi nilikuambia ni mchango wa nini au unajijua kuwa we mwenyewe ushajichoka!!
Koh koh koh!!Dahhhhhhhhhhh
I will be back Smart911 ngoja kwanza niende kwenye kioo
Asante sana Smart911
Watu wataniroga mwaka huu hakyamungu misifa yote hii dahhhhhhhhhhh
I don't know what to say yani
I'm speechless Super dear
Nina furaha mpaka najisikia kulia mwenzio
Let me declare this thing here
I love you Smart911
Love you for real
Hapana, karibia tunatua.Naona unabadili gia angani enheee?
Ha ha ha ha nshaelewa mkwe ubarikiwe sana