Describe and explain anything about HIm/HEr

[emoji4][emoji4]
Utamuumba mwenyewe kwa maana ya kuwa mme anatengenezwa. Umenipata eeh. Haji kwa vuupuu huyu hapa. Lazima ziwepo stages hahahaha. Kama vile leo Salam kesho stori keshokutwa kiss hivyo yaani....

[emoji4][emoji4][emoji4]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumuumba ni utani naanzaje kumuumba mtu jmn ila kurekebishan tutarekebishana hata kwa mabom na mitutu ingawa huchukua mda kurekebika lkni fulu burdani.halla!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumuumba ni utani naanzaje kumuumba mtu jmn ila kurekebishan tutarekebishana hata kwa mabom na mitutu ingawa huchukua mda kurekebika lkni fulu burdani.halla!
Chemistry ni kitu muhimu pia...zikishaendana kazi ya kubadilishana ni ndogo tu
 
Shunie..

Akiwa Jf;

Shunie yeye utamkuta online wakati woote..nahisi hata kula hali [emoji23][emoji23][emoji23]

Shunie ni mshkaji humu jf kwa kila mtu bila kujali itikadi au werevaaa.. yaaani yeye pouwa tuu..

Nje ya JF.

Shunie hana tofauti sana na tabia zake za jf..

Ni binti ambae sio mmbeya kama wadada wa town..japo yeye mwenyewe ni mtoto wa mjini toke lile jiji mapenzi yaliko anzia..

Anapenda itani na kusocialize na watu wa rika zotee..


2. Nifah

Huyu dada ila nafunguka tuu [emoji23][emoji23][emoji23]

Ni mtu mwenye hasira za fastaa..! Mwepesi kusahau na mwenye huruma

Ni mtu asiependa kushidwa..

Anapenda udaku kupita maelezo.
 
Chemistry ni kitu muhimu pia...zikishaendana kazi ya kubadilishana ni ndogo tu

Halafu inaonekana wewe ni bonge la mwelewa ee na ujanja ujanja mtu hakudanganyi.na nija za ujanja unazijua sana tu[emoji6] mwandiko wako umenionyesha hivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu inaonekana wewe ni bonge la mwelewa ee na ujanja ujanja mtu hakudanganyi.na nija za ujanja unazijua sana tu[emoji6] mwandiko wako umenionyesha hivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeniacha ujueee.. sijui ubashite ila vyeti mbona ninavyo!

Fafanua hapo swirii
 
List goes on..

3. Mondray..

Wahusika wengi wanatabia zile zile..so hizi hizi za jf nyingi ndizo tabia zao nje ya jf..

Mondray..

Ni kijana bado hajaoa..

Ni mtu mpole anaependa kijifunza vitu..

Anapenda sana totoz na akipata madada wa town watamliza manake hana ile janja ya town..

Kuna maisha anatamani kufikia ila bado hajaweza..

Keep it up mondray..


4. Sakayo


Huyu ni mjasiria mali na mwanamke mtafutaji..

Huyu mwanamke ana msimamo (common standing) katk mipango yake..

Sakayo ana anajipenda na kujijali ila pia ana wivu wa mapenzi kwa mtu anaempenda
 
Umeniacha ujueee.. sijui ubashite ila vyeti mbona ninavyo!

Fafanua hapo swirii

[emoji15]!sawa jirani bashite.yani yani hata sijui niiwekeje aise em ngoja nijaribu.

Kama mtu anakuletea utoto wa mjini unamwlewe mapema.yan kama mtu abakuingiza chaka unajua kabisa hili chaka ili ila unakausha.nikiandika zidi nitaharibu drln.

Usipoelewa itabidi niiwasilishe tena kwa msaada wa watu wa marekan au wa China.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23](ujumbe huuu umeletwa kwen kwa msaada wa TAC AIDS.kiddin..)
 

Hahaha... nipo hivyo kweli.
That's why I love you.
Nimeelewa bhana na ubashite huu ila sijafikia hatua ya kuombewa msaada wa wamarekani tena Aids [emoji16][emoji16]
 
Nakucheki tu
Sawa bwana.
Ila kama vile umetaka kupatia baadhi ya vitu
 
Nitarudi mama watoto wangu, japo utafutaji umeniweka mbali nawe.
Wapi huoni? Au unamaanisha wazap?
Fakalava;

Huyu mkuu ni mtu mtanashati..

Fakalava ni bachelor hajaoa bado..

Fakalava anapenda sana totoz ila hana uwezo kwa kuwamanage..

Yaani anapata demu week hii, after 3 week amepigwa chini.

Fakalava ana element za uoga..


Fanya urudi bwana maana hata kule sikuoni kabisaaaaa,huko kwa kina Bashite achana napo, vijana wapo vizuri shaka ondoa
Hapa sasa [emoji23][emoji23]

Clkey ni iron lady, hapa mmenielewa kuwa Clkey ni mpiga kazi

Clkey ni wale wanawake wa 'i don't give a damn shit' yaani lolote na lile yeye hawazi..

Clkey hana wivu wa mapenzi saaana, manake kama keshaelewa wanaume wanalivyo..

Clkey ni mshikaji na mtu wa kujichanganya na watu kama shunie..

Clkey niongeze tuu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaha... nipo hivyo kweli.
That's why I love you.
Nimeelewa bhana na ubashite huu ila sijafikia hatua ya kuombewa msaada wa wamarekani tena Aids [emoji16][emoji16]

Najua wewe si wa sport sport hutakagi msaada wa watu wa canada wala nini.

Kama kweli upo hivyo,naana kuwa mtabir rasmi nikuze kipato [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Love u back drln.
[emoji445][emoji445]moyo[emoji445][emoji445]by dito.
 
Najua wewe si wa sport sport hutakagi msaada wa watu wa canada wala nini.

Kama kweli upo hivyo,naana kuwa mtabir rasmi nikuze kipato [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Love u back drln.
[emoji445][emoji445]moyo[emoji445][emoji445]by dito.

C'mmon B..moyo sukuma Daby and not blood.

Au unasemaje mamiloo!
 
C'mmon B..moyo sukuma Daby and not blood.

Au unasemaje mamiloo!

[emoji23][emoji23][emoji23] aise umenichekesha kiukweli.

Moyo wangu nisukumie damu yangu tu.moyo ukiamua kumsukuma na Daby nitadanji suni
 
[emoji23][emoji23][emoji23] aise umenichekesha kiukweli.

Moyo wangu nisukumie damu yangu tu.moyo ukiamua kumsukuma na Daby nitadanji suni

Hahaha....seriously. koh koh

Utadanja kwa upendo wa kutosha ama umemanisha utadanjaje!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…