Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

hapo namanisha sio kila kitu kiandikwe aisee biblia ni uchambuz wa machache cna.nahyo tar 25 ni ilipangwa tuu na imekubalika
 
Tar 25 Dec. ni sikukuu ya wapagani full stop. Historia inathibitisha acheni kurembaremba mnajidanganya wenyewe.
 
Hanitoni, kama tar 25 ilipangwa tuu je kuna mangapi mengine yalipangwa ambayo watu wanayaamini kama neno la Mungu? This is very dangerous. Inajulikana wazi bila ya kupingika kuwa 25 Dec ilikuwa sikukuu ya kipagani, haimo kwa Yesu. Pasaka pia haimo, holly communion pia haimo, trinity pia haimo, 12 disciples hawakuwepo, haya yote yalikuwa matambiko na story za kipagani na yalipangwa tuu na kukubalika. Tafadhali refer to numerous messages zangu nyingi above. Tatizo wabongo imani zetu ni kama vipofu hatufanyi utafiti sisi wenyewe tunapelekeshwa tu na kwa bahati mbaya tafiti zote zilizofanywa na academics kuhusu biblia zimefanywa kwa kiingereza, hii inatueka wabongo nyuma kichizi (at least 200 years)
Einstein hebu wape link ya youtube ya documentary inaitwa 'the god who wasn't there' na 'Pagan christ'
 
Last edited by a moderator:
sasa ww ulitaka kila kitu kiandikwe??hyo biblia isinge bebeka mtu wngu
 
Hanitoni, actually biblia ingekuwa fupi sana kama hizo story za nyongeza zisingewekwa, majority ya maandiko yalikuwa fictional and myth ukilinganisha na factual accounts
 
Last edited by a moderator:
hivi unajua yesu kafanya mangapi mpaka umri wa miaka 30????ukiacha mitume walioishi miaka mingi zaid ya yesu duniani km mussa.elliya na wengineo
 
biblia ni written speech kama ilivyoandikwa na yule mzungu paulo na wenzake hivyo kuna kasoro nyingi sana na uongo mwingi sana,na mtu akishafanya kua ni imani yake inakua ngumu mtu kushtuka mpaka Mungu amasaidie.

Tofauti na Quraan ambayo ni spoken speech kutoka kwa Mungu mwenywe .hivyo haina kasoro hata chembe, na huu ni muujiza kwa sababu spoken speech huwa ina erros na haikupi mda kwa kurekebisha ulichosema awali.Ufundi wa Mungu ndo umeonekana hapo.

leo hii hii spoken speech watu wameimeza toka enzi hizo mpaka leo hakuna kuedit.

unlike biblia ambayo ina matoleo kibao kucope na wanakondoo wa sasa,

Double standard ya Nini Mkuu?
Biblia na Quran vyote ni Human Fabrication.
 
hivi unajua yesu kafanya mangapi mpaka umri wa miaka 30????ukiacha mitume walioishi miaka mingi zaid ya yesu duniani km mussa.elliya na wengineo


Don't Fool yourself Brother
Hakuna Historical Evidence yoyote Inayothibitisha Uwepo wa yesu.
In short,yesu ni Myth

terranova Amejaribu kukuelezea Hapo juu,sema ndiyo Hivyo wakristo wengi Mmepofushwa na Imani.
Jaribu kupitia Hii Documentary Film
GOD WHO WASN'T THERE--http://m.youtube.com/watch?..
You might be Interested Mkuu.Haitavunja Imani yako Bali itaijenga.hahaha!

Actually,Kisa kizima cha Yesu kimebase katika Hearsay
Hearsay ni Habari ya kusikia na siyo Eye's witness

Ukitaka kuamini Haya ninayoyasema,Jaribu kusoma Luka 1:1
Luka Anasema
"Kwa kuwa watu wengi wametia Mikono KUTUNGA kwa utaratibu Habari za Mambo yaliyotizamiwa katikati yetu,Kama WALIVYOTUHADITHIA wale Mashaidi....
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nimeonyesha double standard wapi?

Biblia ni human fabrication sawa, Quraan haina mkono wa mtu cause Prophet Muhammad pbuh hakujua kusoma wala kuandika , he was ignorant ,mpangilio wa hii speech isiyokua na erros aliokua akiipokea its beyond his intellectual abilities.

You suffers From selective Skepticism
why you Defend Quran By Ignoring Bible?
Umetumia Sheria Ipi kuitetea Quran?na sheria ipi kuipinga Biblia?

Ujinga wa Mtume Mohammad siyo Kigezo cha kuthibitisha Ukamilifu wa Quran.Tangu lini ujinga ukawa uthibitisho wa ukamilifu?

unadai kuwa Bible ni Written Record na Quran ni Spoken speech
unajua Maana ya spoken speech au ulitaja tu?
In reality,written speech has Greater Accuracy than Oral one.

Kama unadhana Quran ni Absolute Perfect Basi unajidanganya.
Bible&Quran vyote vina kasoro kwasababu ni Mawazo ya Mwanadamu.
 
Mkuu nimeonyesha double standard wapi?

Biblia ni human fabrication sawa, Quraan haina mkono wa mtu cause Prophet Muhammad pbuh hakujua kusoma wala kuandika , he was ignorant ,mpangilio wa hii speech isiyokua na erros aliokua akiipokea its beyond his intellectual abilities.

Well said einstein newton
Mkuu ujinga wa muhamad ni kitu kingine kabisa wala ujinga wake hauhusiani kuthibitisha ukamilifu wa quran. Katika hivyo vitabu viwili vyote vina contradictions nyingi sana yani unahitajika kuwa na roho ngumu sana kuweza kujifanya huoni matatizo yaliyomo humo.
Cc aretasludovick, benie 369
 
Last edited by a moderator:
You suffers From selective Skepticism
why you Defend Quran By Ignoring Bible?
Umetumia Sheria Ipi kuitetea Quran?na sheria ipi kuipinga Biblia?

Ujinga wa Mtume Mohammad siyo Kigezo cha kuthibitisha Ukamilifu wa Quran.Tangu lini ujinga ukawa uthibitisho wa ukamilifu?

unadai kuwa Bible ni Written Record na Quran ni Spoken speech
unajua Maana ya spoken speech au ulitaja tu?
In reality,written speech has Greater Accurancy than Oral one.

Kama unadhana Quran ni Absolute Perfect Basi unajidanganya.
Bible&Quran vyote vina kasoro kwasababu ni Mawazo ya Mwanadamu.
Salute mkuu,your mind is very free.
 
hahaha fanya yako nass tuachie imani yetu huna point hata moja hapo
 
biblia ni written speech kama ilivyoandikwa na yule mzungu paulo na wenzake hivyo kuna kasoro nyingi sana na uongo mwingi sana,na mtu akishafanya kua ni imani yake inakua ngumu mtu kushtuka mpaka Mungu amasaidie.

Tofauti na Quraan ambayo ni spoken speech kutoka kwa Mungu mwenywe .hivyo haina kasoro hata chembe, na huu ni muujiza kwa sababu spoken speech huwa ina erros na haikupi mda kwa kurekebisha ulichosema awali.Ufundi wa Mungu ndo umeonekana hapo.

leo hii hii spoken speech watu wameimeza toka enzi hizo mpaka leo hakuna kuedit.

unlike biblia ambayo ina matoleo kibao kucope na wanakondoo wa sasa,

Mkuu quran ina mapungufu kuliko unavyoweza kufikiria labda kama hujaipitia.
Quran 7: 54 Allah anasema aliumba dunia kwa siku 6
Quran 10:13 anarudia kusema aliumba dunia kwa siku 6
Ukisoma 41:9 anadai aliumba dunia kwa siku 2
Tukiendelea hapo kidogo 41:10 anadai aliumba kwa siku 4, ukisogea kidogo hapo 41:12 anasema aliumba mbigu zote Saba kwa siku 2
Hivi hili we unalizungumziaje? Au huyu allah ni muongo? Tuamini lipi?
 
Well said einstein newton
Mkuu ujinga wa muhamad ni kitu kingine kabisa wala ujinga wake hauhusiani kuthibitisha ukamilifu wa quran. Katika hivyo vitabu viwili vyote vina contradictions nyingi sana yani unahitajika kuwa na roho ngumu sana kuweza kujifanya huoni matatizo yaliyomo humo.
Cc aretasludovick, benie 369

Mkuu mimi nimeona niwe mtazamaji tu nisije kuwakera watu wakiadhimisha sikukuu ya kuzaliwa kwa mungu wao.
 
Last edited by a moderator:
You suffers From selective Skepticism
why you Defend Quran By Ignoring Bible?
Umetumia Sheria Ipi kuitetea Quran?na sheria ipi kuipinga Biblia?

Ujinga wa Mtume Mohammad siyo Kigezo cha kuthibitisha Ukamilifu wa Quran.Tangu lini ujinga ukawa uthibitisho wa ukamilifu?

unadai kuwa Bible ni Written Record na Quran ni Spoken speech
unajua Maana ya spoken speech au ulitaja tu?
In reality,written speech has Greater Accurancy than Oral one.

Kama unadhana Quran ni Absolute Perfect Basi unajidanganya.
Bible&Quran vyote vina kasoro kwasababu ni Mawazo ya Mwanadamu.

Mkuu! Huchoki kuwaelewesha hawa waliojitoa ufahamu? 😀
 
Mkuu mimi nimeona niwe mtazamaji tu nisije kuwakera watu wakiadhimisha sikukuu ya kuzaliwa kwa mungu wao.

Mkuu we kuwa huru tu, maana sio wewe uliewaambia kusherekea huku wakijua fika kuwa hiyo tarehe ni feki. Merry Christmas in advance 🍷🍷🍷🍷
 
Mkuu we kuwa huru tu, maana sio wewe uliewaambia kusherekea huku wakijua fika kuwa hiyo tarehe ni feki. Merry Christmas in advance 🍷🍷🍷🍷

Ni shidah 😀
 
Back
Top Bottom