Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

kama historia yako mwenyewe inakusumbua unataka tukusaidie nini sasa cha ziada mkuu

umeanza kuwakana ndugu zako wa miaka ya 1844 sio, utaelewa tu nachomaanisha nafikiri uliponiletea mfano wa kibwetele uliwasahau ndugu zako wapiga ramli wa kule marekani. au ulidhani kanisa linajishughulisha na mambo ya tabiri tabiri za kinabii ?. lilitumwa kuhubiri injili na kutafuta kilichopotea tu.

ukitaka kujua na kuelewa kwa kina mambo ninayoamini mimi usiteseke na mitandao au .com au nani kasema nini au kafundisha nini. ILA TAFUTA BIBLIA USOME ni kwa njia hiyo tu utaelewa vizuri mambo ya imani yangu. ukiona biblia ni ngumu au ni kubwa tafuta CREDO ujisomee kwani yamefanyiwa sumary humo.
Tatizo huyo ngedere anatumia njozi za Ellen G White kufasiri Biblia....
 
Yaani hakuna tofauti kati ya kauli au barua ya papa Fransis kwa katisa katoliki Bugando na Barua za Paulo labda kwa wakorintho. Vyote vinahadhi sawa bila kujali content.
ni lini papa ameandika kitu kinaitwa sijui BARUA kwenda kanisa katoliki bugando na ni papa nani huyo aliyeandika kitu kinaitwa BARUA. kwenda kanisa katoliki bugando

na hilo kanisa katoliki bugando linapatikana sayari gani mkuu ?

"usijibebeshe mizigo usioweza kuibeba" - andika unachojua na unachoweza inatosha tutakuelewa.
 
Ndio maana nimem-quote yeye..


Wewe kiherehere cha nini...???


Au unataka nikuletee jinsi falme za Kiarabu zinavyoshetekea siku hii muhimu ya Xmas...?
Hili ndio tatizo lako kuna maandiko halafu kuna tabia za watu, ukijua kutofautisha hivi vitu uto kaa tena kuandika hizo habari zako, jadili mada iliko mezani huyo mama mwache hausiki hapa
 
Yesu hakuzaliwa tarehe 25 dec. nakubaliana na wewe 100% sasa tusaidie wewe ALIZALIWA LINI ? tena kwa ushahidi wa biblia itapendeza zaidi
Biblia haionyeshi tarehe husika aliozaliwa , hivyo rizika na majibu ya biblia wala hakuna haja ya kuongeza kisichokuwepo kwa sababu hakina umuhimu ndio maana akijaandikwa
 
Biblia haionyeshi tarehe husika aliozaliwa ,
kwa hiyo hakuzaliwa ?

bikira maria mama wa Yesu anapatikana pande zipi leo sababu hakuna habari za kifo chake kwenye bible

pilato, paulo, petro nk hao watu waishi wapi leo mkuu ? bible inaonesha bado wapo hai tusaidie wako wapo

hata wewe mwenyewe HAUPO kwa sababu hujaandikwa kwenye bublia wala hujatabiriwa popote kwenye bible kwamba utatokea au kuzaliwa hivyo upo duniani KIMAKOSA sio.
 
kwa hiyo hakuzaliwa ?

bikira maria mama wa Yesu anapatikana pande zipi leo sababu hakuna habari za kifo chake kwenye bible

pilato, paulo, petro nk hao watu waishi wapi leo mkuu ? bible inaonesha bado wapo hai tusaidie wako wapo

hata wewe mwenyewe HAUPO kwa sababu hujaandikwa kwenye bublia wala hujatabiriwa popote kwenye bible kwamba utatokea au kuzaliwa hivyo upo duniani KIMAKOSA sio.
Mkuu usichanganye mambo , Yesu ndio mwalimu ametuambia tujifunze kwake kama kweli unaitaji uzima wa milele, sasa unapoona mtu anakuja na mafundisho yake kisha akayanasibisha na Yesu, ni lazima hatuonyeshe wapi ametoa , akionyesha atakuwa kasalimika ila asipoonyesha atakuwa mzushi tena mfitini, kuhusu habari za kifo cha bikira Maria kama hazijaandikwa maana yake hakuna humu himu wake wala hazikusaidii kufikia malengo ya uzima wa milele hivyo achano nazo , very simple
 
sasa kwa nini unahoji kuhusu tarehe 25 dec ? na sio tukio/lengo la tarehe 25 dec ? kumbe ufahamu huwa mnao ila kiburi na ubishi ndo huwa vinawasumbua
kuhusu habari za kifo cha bikira Maria kama hazijaandikwa maana yake hakuna humu humu wake wala hazikusaidia kufikia malengo ya uzima wa milele hivyo achano nazo , very simple
tumia logic hiyo hiyo kuelewa kuwa tarehe 25 dac haikuandikwa popote kwenye biblia kwa sababu tarehe na mwezi au mwaka haikusaidii kufikia malengo ya uzima wa milele ila lililo muhimu na la lazima kwa uzima wetu wa milele ni TUKIO/LENGO la hiyo tarehe 25 dec. sasa HOJI KUHUSU TUKIO na SIO TAREHE (sio muhimu ndio maana haikuandikwa) maana kuna wanaofanya trh 6 jan nk.
 
sasa kwa nini unahoji kuhusu tarehe 25 dec ? na sio tukio/lengo la tarehe 25 dec ? kumbe ufahamu huwa mnao ila kiburi na ubishi ndo huwa vinawasumbua

tumia logic hiyo hiyo kuelewa kuwa tarehe 25 dac haikuandikwa popote kwenye biblia kwa sababu tarehe na mwezi au mwaka haikusaidii kufikia malengo ya uzima wa milele ila lililo muhimu na la lazima kwa uzima wetu wa milele ni TUKIO/LENGO la hiyo tarehe 25 dec. sasa HOJI KUHUSU TUKIO na SIO TAREHE (sio muhimu ndio maana haikuandikwa) maana kuna wanaofanya trh 6 jan nk.
Tunahoji tarehe kwa sababu inafungamanishwa na mazazi ya Yesu, wakati ni uongo mtupu , hakuna uhusiano wa tarehe 25/December na mazazi ya Yesu , hapo Ndipo kwenye jambo husika
 
2 THE 3:6 Ndugu, twawaagiza katika jina la Bwana Yesu Kristo, jitengeni nafsi zenu na kila ndugu aendaye bila utaratibu, wala si kwa kufuata mapokeo mliyoyapokea kwetu.

Kama Paulo alitoa na mapokeo kwa wakristo, nyinyi wa maandiko tu mwajiitaje wakristo, ingekuwa vyema mjiite wazushi
 
Na tumeshaanza huku majuu
IMG-20181207-WA0042.jpeg
 
Tulia kwenye mada , hata wakina Adam awakutahiriwa na wakina NUHU, mambo ya kuleta masuala ya kiutamaduni kwenye mambo ya kimaandiko lazima uwe unatapatapa tareh 25/December wapi ?

Subiri Trh 25 Dec uone watu watakavyo Furahi! Hata Christ-mass ni Utamaduni wetu Wakristo [emoji106] [emoji123] nakushangaa wewe unaetaka Andiko ktk mambo ya Utamaduni [emoji15] [emoji12] unawaka nini wakati tunadai Andiko wapi baba fatuuû katahiriwa NYAMA ya govi lake [emoji351] [emoji351] [emoji348] [emoji348] kwani Hujui Andiko linaua [emoji117]
IMG_20181208_100914_333.jpg
unatembea lakini Kiroho wewe ni marehemu mashudu [emoji24] [emoji24]
 
Subiri Trh 25 Dec uone watu watakavyo Furahi! Hata Christ-mass ni Utamaduni wetu Wakristo [emoji106] [emoji123] nakushangaa wewe unaetaka Andiko ktk mambo ya Utamaduni [emoji15] [emoji12] unawaka nini wakati tunadai Andiko wapi baba fatuuû katahiriwa NYAMA ya govi lake [emoji351] [emoji351] [emoji348] [emoji348] kwani Hujui Andiko linaua [emoji117] View attachment 959955 unatembea lakini Kiroho wewe ni marehemu mashudu [emoji24] [emoji24]


Klick here Mega churches mean big business - CNN.com
 
Back
Top Bottom