Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

naona hata biblia yenyewe sasa imekushinda ndo maana unakimbilia vitabu ambavyo viko juu ya uwezo wako. bahati mbaya zaidi hardcopy ya kitabu unachonukuu HUNA ulichobakiza ni viquotation vya www.com nakuja kutusumbua humu
Can you learn to save your soul just by reading the Bible? No...because the Bible does not have everything God taught."
'' Je unaweza kujifunza kuokoa nafsi yakonkwa kusoma bibilia tu ? ... HAPANA kwa sababu bibilia haina kila kitu Mungu alichofundisha (A Catechism for Adults, Q. 1, p. 52).
yohane 20:30
Basi kuna ishara nyingine nyingi alizozifanya Yesu mbele ya wanafunzi wake, zisizoandikwa katika kitabu hiki.

yohane 21:25
Kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa.

mkuu mitale na midimu tuoneshe ubaya/upotofu wa hiyo katekisim uko wapi ?. (hata kama sio ya kanisa katoliki tuoneshe upotofu wake ulipo)
 
Sijaelewaaa
Swali zuri la kujiuliza kwanin wazungu hutenda kinyume na Bible ila Husherehekea Xmass kwa nguvu isiyo ya kawaida??? Wao ndio wamempokea mpinga kristo, ila eti wanaadhimisha kuzaliwa kwa kristo, hapa lazima mwenye Akili utumie Akili,

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Haya ndio matatizo ya kukurupuka ,tamaduni za WAKRISTO zinapaswa ziendane na kristo sio vinginevyo, sasa wapi alipokufundisha Yesu juu ya tarehe 25/December ? basi kama umekosa ebu tuonyeshe angalau kwa wale wanafunzi wake 12?

Kumbe Utamaduni lazima uendane na deen sawa [emoji106] kutitahiriwa muham mad amealifu Utamaduni unaoendana na deen [emoji117]
IMG_20181209_105523_512.jpg
 
Kumbe Utamaduni lazima uendane na deen sawa [emoji106] kutitahiriwa muham mad amealifu Utamaduni unaoendana na deen [emoji117] View attachment 961307
Mbona unakuwa kama unakichaa kijana suala hapa ni kuufanya upagani wa 25/December kuwa ni sherehe yenye mafungamano na kimaandiko ? huo ndio uzushi na unafiki uliowazi
 
wakuu mbarikiwe.
katika uzi huu, naishia hapa kutoa changamoto.
kama kunahoja au haja tofauti na niliyochangia nakubaliana kutokukubaliana.
cc
SALA NA KAZI

Ewaa.....fika salama....ila usituletee kigeugeu cha kurudi hapa....

Marry Xmas......Upinga Kristo ni laana...jiondoe kwenye Usabato ulioanzishwa na mwanamke uone ufalme wa mbinguni....hujachelewa...fanya haraka
 
Ewaa.....fika salama....ila usituletee kigeugeu cha kurudi hapa....

Marry Xmas......Upinga Kristo ni laana...jiondoe kwenye Usabato ulioanzishwa na mwanamke uone ufalme wa mbinguni....hujachelewa...fanya haraka
Kama haya ndio aina ya majibu yako , kwa kweli kazi ipo
 
Iwe alizaliwa july,march au december ilo siyo muhimu, muhimu ni kuyashika mafundisho yake tu! AMANI NA UPENDO! 'Itafika wakati watu watamwabudu katika roho na kweli'
 
Wakatoliki hamuamini Bibilia kwa kauli hiyo
iwapo kuna binadamu HAAMINI kazi ya mikono yake mwenyewe basi huyo ni lazima atakuwa antatizo mahali.
Karibu SDA mkuu achana na hao wanaoyadogosha maandiko ili church creeds na matamko ya kikanisa ili mapokeo ya kibinadamu yapate uchochoro wa kuaminiwa.
niache imani safi iliojengwa juu ya MWAMBA nikahamie kwenye tabiri zilizojengwa juu ya MCHANGA labda sio mimi. (kwenu SDA huwa ninapenda nyimbo tu hasa wale ambasada wa rwanda huwa wananibariki sana kwa jumbe za nyimbo zao na ninazo nyingi tu. haya mengine ya kujazana, kuhubiriana, na kufundishana chuki na vitisho juu ya imani zingine nawaachia wenyewe)
Hizi ni siku za Mwisho, fanya uchaguzi sahihi wa maisha yako. Imekupasa Kumtii Mungu kuliko wakuu wako.
kama hoja yako ni siku za mwisho: kanisa lipo tangu lini ? na SDA lipo tangu lini ?

ninamtumikia Mungu na kujitahidi kuishi maisha adili kwasababu NINAMPENDA TU, kwa sababu yeye ni MUNGU. na sio kwasababu ni siku za mwisho, au kwasababu kuogopa vitisho vya sheria za sabato nk
 
naona umesahau ulikotoka, na sasa unarudi ulikotoka. inaonesha ni namna gani umekariri na sio kuelewa
Ni kosa kwasababu hakuna popote kwenye maandiko juu ya tarehe hiyo hivyo ni uzushi, kuhusu kuzaliwa lini? kama kitu hakija andikwa unapaswa utosheki na hilo, hakuna haja ya kutengeneza tarehe yako ilo jambo la tarehe lingekuwa ni muhimu lingeandikwa lakini kwa vile alijaandikwa hiyo tarehe itabaki kuwa ni yenye kuzushwa(uzushi)
sasa kwa nini unahoji kuhusu tarehe 25 dec ? na sio tukio/lengo la tarehe 25 dec ? kumbe ufahamu huwa mnao ila kiburi na ubishi ndo huwa vinawasumbua

tumia logic hiyo hiyo kuelewa kuwa tarehe 25 dac haikuandikwa popote kwenye biblia kwa sababu tarehe na mwezi au mwaka haikusaidii kufikia malengo ya uzima wa milele ila lililo muhimu na la lazima kwa uzima wetu wa milele ni TUKIO/LENGO la hiyo tarehe 25 dec. sasa HOJI KUHUSU TUKIO na SIO TAREHE (sio muhimu ndio maana haikuandikwa) maana kuna wanaofanya trh 6 jan nk.
 
naona umesahau ulikotoka, na sasa unarudi ulikotoka. inaonesha ni namna gani umekariri na sio kuelewa
Mbona iko wazi mkuu ata kichwa cha thread ni kuhusu tarehe , sijawai kutoka nje ya hii mada wala sijakariri , nakupa kile kilichopo kuwa 25/December haina uhusiano wowote na mazazi ya Yesu , ni kitu kilichozushwa
 

Very poor question. When was this calendar started? Why is this year 2010?

Kama wewe ni wale wafuasi wa Allah kiumbe,

Je, Issa bin Mariam aliye ndani ya kolani, na kutokana na Kolani ya Allah wa Isilamu, huyu Issa bin Mariam alizaliwa tarehe gani? Naomba aya kutoka Kolani yenu.
Foolish qn, answet the first qn, don jump like a frog dude.
 
historia haionesh kwamba yesu alizaliwa 25 Dec bblia ndo ktabu cha iman ya kikristo kakin haielekez kuwepo kwa christmas, inasikitisha sana kuona jins tunavyo fuata mkumbo ktk hli suala.
kuna nini katika maisha yako hufuati mkumbo? Kusoma na kuandika mkumbo, kuvaa mkumbo, kupika chakula mkumbo etc
Tofauti za mafundisho ndio zinatufanya tufuate mikumbo tofauti
Cha msingi ni kuelimishana na kusaidiana kidugu
 
Je X-mass ni sherehe za kuzaliwa yesu kristo ? Nielewavyo gregorian calenda ilianza pale yesu alipozaliwa yaani tareh 01-januari - 01. Sasa ninapoambiwa tunasherehekea kuzaliwa yesu tar 25 -Dec, inachanganya kidogo.[au tarehe kamili ya kuzaliwa yesu haifahamiki ?] Wapendwa naomba msaada hapo na bwana asifiwe.
Hamna haichanganyi ila wewe ndio unajichanganya, Umesema unavyoelewa wewe Gregorian calendar ilianza 01/01/01
Swali je wewe hiyo Tarehe 01/01/01 unauhakika ndio Gregorian calendar ilianza?
Labda nikufumbue macho tu kidogo sikukuu nyingi za kidini huwa zinapangwa tu kulingana na tukio Fulani au kulingana na makubaliano fulani, na sio eti kwa sababu ya sikukuu husika, mambo hayako hivyo ndugu, Hata majina ya Mapapa wanayotumia sio majina yao halisi ya kuzaliwa, ni majina wanayochagua, hivyo maana angu kubwa ni kwamba kuna baadhi ya mambo huwa yanafanywa kwa kupendekeza/kuchangua na sio kufata calendar au nature ya event yenyewe
Mwisho kabisa mleta uzi nikuambie tu kitu ambacho kinakutanisha watu social, na wanajuika pamoja na kujenga undugu na vitu kama hivyo haina haja ya kujua eti ilikuwaje kwa nini, au kwa sababu gani,
Tufatilie vitu ambavyo vinamantik na ambavyo vitatuunganisha na sio kututenganisha na ndio maana kuna forums mbali mbali zinafanya vitu kama hivi kwa mchanganyiko wa dini mbali mbali ili kuwaweka watu kuwa pamoja na sio kutengana
Hizi dini tuliletewa tu zisiwe vyanzo vya kuleta migogoro Africa, bali kama unamini amini, kama huamini usaiamni just mind your own busness sio kwa ubaya bali kuepusha migogoro na migongano, maana kutaka kujua kitu hiki ni halali au si halali, hasa kwa dini fulani ni kuleta mzozo, Ni ushauri tu na mtazamo wangu binafsi
 
Xmas ni sikukuu ya kuzaliwa kwake Yesu si siku ya kuzaliwa kwake - sawa na sikuukuu ya kuzaliwa kwake Malkia wa Uingereza (Queens birthday) inayosheherekewa tarehe iliyochaguliwa - kwa hiyo si tukio la ajabu kusheherekea siku tofauti.

Kwa malkia siku nyingine ilichaguliwa kwa sababu kwenye hali ya hewa ya Uingereza sherehe na maandamano ni afadhali kuwa mwezi usio na mvua nyingi (June).

Kwa Yesu sababu yake ni hakuna anayejua tarehe ya kuzaliwa kwake. Katika utamaduni wake watu hawakujalitarehe ya kuzaliwa na hakuna aliyekumbuka. Yesu hakuwana sherehe ya aina hii. Lakini Wakristo wa baadaye waliona ni mhimu kusherekea siku ya kuzaliwa kwake walichagua tarehe.
Maneno haya amekwambia nani kama waislamu hawajui mtume wao amezaliwa tarehe ngapi???????
Si desturi katika Ukristo pekee. Waislamu wengi duniani wanasheherekea maulidi ya nabii Muhamad - lakini hakuna anayejua tarehe ya kuzaliwa kwake. Tarehe hii ilichaguliwa pia.
Hakuna ubaya - tusheherekee!
Heri za Krismasi!
 
Back
Top Bottom