Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Wanajamvi,
Naombeni msaada wa kupewa design nzuri na za kisasa za lounge na club!
Kwamba lounge iwe na makuti kwa juu sio bati..
Nini na nini natakiwa niwe nacho kuanzisha hyo lounge na club.
Nitashukuru km nitapata picha hata za 3D za design za kisasa!
nb:Si mbaya nikipata na fundi mzuri !
Manengelo
Naombeni msaada wa kupewa design nzuri na za kisasa za lounge na club!
Kwamba lounge iwe na makuti kwa juu sio bati..
Nini na nini natakiwa niwe nacho kuanzisha hyo lounge na club.
Nitashukuru km nitapata picha hata za 3D za design za kisasa!
nb:Si mbaya nikipata na fundi mzuri !
Manengelo