Design ya Sebule kuwa Chini halafu Vyumbani na Sehemu ya Chakula kuwa Juu

Design ya Sebule kuwa Chini halafu Vyumbani na Sehemu ya Chakula kuwa Juu

Hiyo design asili yake ni Ufaransa na inafahamika kama "Vous finirez seulement dans le salon, vous ne mangerez rien et dormirez, rentrez chez vous !" yaani "Utaishia sebuleni tu lakini kula huli, na kulala kalale kwenu"
 
Ndugu wanamajilisi, hiyo "design" tajwa hapo Juu ndio Ujenzi wa Kisasa?
Au ni kipi hasa kinapelekea Mafundi wengi kushauri Ujenzi wa namna hiyo?
Nyumba za marafiki zangu tabata na segerea utadhani wamejingewa na fundi mmoja
 
Hiyo design asili yake ni Ufaransa na inafahamika kama "Vous finirez seulement dans le salon, vous ne mangerez rien et dormirez, rentrez chez vous !" yaani "Utaishia sebuleni tu lakini kula huli, na kulala kalale kwenu"
Aaalaaa! kumbe. Kuna mwana kanipaulia nyumba nikamwambia sitaki paa la mwinuko kama mtungi akanambia Pythagoras acha kujenga nyumba kizamani sasa hivi tuna kwensa na wakati French style ambao ndio role model ya dunia ktk ujenzi kwa sasa. Achana na British design Pythagoras. Aisee ikabidi nikubaliane na wataalam baada ya kumaliza kuna majirani wanatamani wazifumue nyumba zao wapaue kama yangu. Imependeza balaa ila gharama imedouble cost za mwanzo
 
Nilijifunza kitu kutoka kwenye majengo ya kisasa, ambayo huwa wanaweka ngazi, pamoja na slope. Hii slope huwa ina kazi kwa walemavu.

Sasa, nyumba nyingi huwa wanajisahau, unakuta ngazi bila slope. Sasa, siku ikitokea mtu anayeishi humo akapata jeraha la mkuu atapanda vipi ngazi?
 
Back
Top Bottom