kanyagio
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 1,021
- 366
helllo everyone,
kila wakati nimekuwa nikiwaza na kujiuliza maswali ninapofika Mlimani City.. hivi kwa nini designer wa jengo hili hakuifanya hiyo shopping mall kuwa ya ghorofa angalau mbili au tatu.. kwanza ingeongeza floor area na pili maduka mengi yangekuwa accomodated na tatu ingekuwa good land management.
ukienda Nairobi, Johannesburg, LLondon, Berlin na miji mingineyo utakutana na shopping malls za uhakika zenye more than one floor.
Hapo Westgate Nairobi kuna shopping mall ina 4 floors na design yake ipo safi sana.. basi na Dar tujitahidi kuwa na za namna hiyo ili ardhi ndogo tuliyo nayo hapa Dar tuitumie kwa umakini.
kila wakati nimekuwa nikiwaza na kujiuliza maswali ninapofika Mlimani City.. hivi kwa nini designer wa jengo hili hakuifanya hiyo shopping mall kuwa ya ghorofa angalau mbili au tatu.. kwanza ingeongeza floor area na pili maduka mengi yangekuwa accomodated na tatu ingekuwa good land management.
ukienda Nairobi, Johannesburg, LLondon, Berlin na miji mingineyo utakutana na shopping malls za uhakika zenye more than one floor.
Hapo Westgate Nairobi kuna shopping mall ina 4 floors na design yake ipo safi sana.. basi na Dar tujitahidi kuwa na za namna hiyo ili ardhi ndogo tuliyo nayo hapa Dar tuitumie kwa umakini.