Designers wa jezi za Yanga wapo Simba

Designers wa jezi za Yanga wapo Simba

Competition is good for business.
I will be short as usual

The real yanga jersey designer was not sheri ngowi but his trustee workers.

So these workers are now hired in simba under sandaland leaving sheri ngowi seeking new talents in Jersey design. in short he is struggling to design a new jersey and kits

These are the same workers who designed taifa stars and zanzibar kits BTW

Don't expect much in new yanga jersey.

I wish him well. afanye kitu kizuri aki zingua, he might fumble a bag

UBAYA UBWELA IN MOTION


View attachment 3051947
Hamna kitu Simba jezi bado hazina mvuto. Bidhaa inajiuza yenyewe sasa ukiona nguvu kubwa inatumika basi ujue kuna shida mahali.
 
Jezi za simba ni nzuri tukiongea ile haki, lile neno SANDA kulinaga ni hoja ya kitoto .

Sioni kama watu wanaweza kukaa chini na kujadili neno lile , tena wamefanya vizuri kufupisha pale kama ingekuwa neno SANDALAND ingekuwa kama jina la mchezaji ,Wamefupisha ili kupata balance ya brand zote bila ya kuharibu maana ya jezi maana ingekuwa kama gazeti.
 
Jezi za simba ni nzuri tukiongea ile haki, lile neno SANDA kulinaga ni hoja ya kitoto .

Sioni kama watu wanaweza kukaa chini na kujadili neno lile , tena wamefanya vizuri kufupisha pale kama ingekuwa neno SANDALAND ingekuwa kama jina la mchezaji ,Wamefupisha ili kupata balance ya brand zote bila ya kuharibu maana ya jezi maana ingekuwa kama gazeti.
Kuna jezi zimeandika FILA na watu wanavaa afu Mzee MAGOMA fc wanashangaa SANDA
 
Back
Top Bottom