MABAKULI kichwa chako ni mzigo kwenye kiwiliwili chako. Hivi zile CAG reports za Charles Kicheere hujaona mahali wanasema kilikuwa transfer ya fedha kutoka TPA kwenda Mwanza kwenye akaunti binafsi?
Hii obsession ya wajinga wa Tanzania kwa Magufuli inadhalilisha Taifa. Magufuli was the most corrupt president than any other president ever happened to rule Tanzania. Na ndiyo maana Treasury akamuweka Nephew wake Dotto James, TPA kamuweka Kakoko etc
Mnaruka na kukanyaganaTAKUKURU hizi kesi zenu za kisiasa mama yenu aliambiwa na KAMATI KUU YA CCM zifutwe. Sasa sijui huyu mama ni mkorofi au TAKUKURU ndio wakorofi. Kubishana na kamati kuu
Lete na data kamili ya mapato ,bila kuleta data itabakia kuwa ni umbea Kama umbea MwingineWanamuonea tu kakoko.kipindi chake mapato bandarini yalikuwa mengi tofauti na sasa mapato yameporomoka kwa kasi ya juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi kesi zinategemea ni nani yuko kwenye usukani. Walitoka mafisadi wa Magufuli wakaingia wa Samia. Sasa hivi akija rais mwingine utashangaa hawa hawa wanaosifiwa sasa hivi wanaweza kupelekwa mahakamani kwa ufisadi.Kumbe kuna visasi! Hata baada ya takukuru kuvamia nyumba yake anayejiita kigogo alisema takukuru walikuta pesa taslimu nyumbani zaidi ya bilioni. Takukuru wakakanusha ule uzushi.
Hopefully, mahakama itamaliza udhia.
Wewe ni Mpuuzi tuMABAKULI kichwa chako ni mzigo kwenye kiwiliwili chako. Hivi zile CAG reports za Charles Kicheere hujaona mahali wanasema kilikuwa transfer ya fedha kutoka TPA kwenda Mwanza kwenye akaunti binafsi?
Hii obsession ya wajinga wa Tanzania kwa Magufuli inadhalilisha Taifa. Magufuli was the most corrupt president than any other president ever happened to rule Tanzania. Na ndiyo maana Treasury akamuweka Nephew wake Dotto James, TPA kamuweka Kakoko etc
Ukabila upi au kwa kuwa ulibananishwa? Jina lako tu linasadifu wewe ni mtu wa aina gani subirini upepo uje ugeuke watakuanzia wewe.....Ukabila tuliusahau toka Awamu ya kwanza, mpaka alivyoingia huyu mhutu na wahutu wenziwe.
Hao walioko madarakani kwa sasa hakuna hata mmoja atakayesalimika kuanzia nywele hadi vidole vya mguu tena kesi zisizo na dhamana na kwa mara ya kwanza hata wale wenye kinga zitavuliwa kwa maslahi ya taifa, maana utakuwa uongozi wenye nguvu ya radi (With direct impeachment powers through the strong investigative and trial instruments after legislation amendment)..... the long wait day is fast loading to materialize.Hizi kesi zinategemea ni nani yuko kwenye usukani. Walitoka mafisadi wa Magufuli wakaingia wa Samia. Sasa hivi akija rais mwingine utashangaa hawa hawa wanaosifiwa sasa hivi wanaweza kupelekwa mahakamani kwa ufisadi.
Sasa si ndiyo mtachukua nyinyi baada ya Mama kushindwa!! Si ufurahi sasa kwa nini unatoa povu wewe na atakayeshindwa ni 2025 ni Samia?
Yaani wewe huku humpendi Samia halafu unashauri namna ya kumbakiza madarakani 2025. NONSENSE
Under whose administration; if I may ask!Hao walioko madarakani kwa sasa hakuna hata mmoja atakayesalimika kuanzia nywele hadi vidole vya mguu tena kesi zisizo na dhamana na kwa mara ya kwanza hata wale wenye kinga zitavuliwa kwa maslahi ya taifa, maana utakuwa uongozi wenye nguvu ya radi (With direct impeachment powers through the strong investigative and trial instruments after legislation amendment)..... the long wait day is fast loading to materialize.
CDM!!Under whose administration; if I may ask!
Majizi yaliyozalishwa kwenye utawala wa sukuma gang lazima wote waswekweeee ndaniRejea headline ya Raia Mwema ya tarehe 24 August, 2022. Deus Kakoko alikuwa "Untouchable" kipindi cha Magufuli kutokana na kuwa msiri wake tangu akiwa Regional Manager wa TANROADS enzi za awamu ya 4.
View attachment 2333392
Wakati wa Mwendazake hata PM Majaliwa amewahi kugonga mwamba kwa hiki kisiki.
Soma na hizi threads nyingine hapa;
TAKUKURU mnatumika vibaya ipo siku ukweli utajulikana. Mlitumiwa na wanasiasa wa CCM 'kum-harass' Deusdeth Kakoko ili mhalalishe mradi wa kifisadi
We mbwa koko tokea lini ulipata akili timamu Yani wewe utakufa tuu siku si nyingi na mimi nasema ufe maana hakuna namna. Sonona imekujaa mpaka inamwagika.www.jamiiforums.com
TANROADS na kashfa ya kufanya kazi zisizo zao
Kwa kufuata utaratibu au kibabe babe tu?? Any of the two. Kwani mnadhani mama yeye atawabembeleza kwa kila jambo hadi 2030?www.jamiiforums.com
Nasisitiza, ukabila tuliusahau hadi alipoingia mhutu na kupendelea wahutu wenziwe na wakwao huko kwenu.Ukabila upi au kwa kuwa ulibananishwa? Jina lako tu linasadifu wewe ni mtu wa aina gani subirini upepo uje ugeuke watakuanzia wewe.....