Maulaga59
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,984
- 2,971
MABAKULI kichwa chako ni mzigo kwenye kiwiliwili chako. Hivi zile CAG reports za Charles Kicheere hujaona mahali wanasema kilikuwa transfer ya fedha kutoka TPA kwenda Mwanza kwenye akaunti binafsi?
Hii obsession ya wajinga wa Tanzania kwa Magufuli inadhalilisha Taifa. Magufuli was the most corrupt president than any other president ever happened to rule Tanzania. Na ndiyo maana Treasury akamuweka Nephew wake Dotto James, TPA kamuweka Kakoko etc
Wewe utakuwa mmoja wa wale waliokatwa mavi wakati wa JPM. Ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo!