Deus Kaseke na Haruna Chanongo watua Yanga SC

Wonderful

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2015
Posts
7,347
Reaction score
5,986
Wachezaji hao sasa ni mali ya YANGA na wate wamemwaga wino kwa mkataba wa miaka 2.Niliwahi kutoa taarifa za Chanongo hapa takribani wiki moja iliyopita but nilikosea aka yake nikidhani ni Messi (RAMADHANI SINGANO)But alikua ni Chanongo na vikao vimeenda vema na atimae amesaini YANGA leo.YANGA MBELE DAIMA NYUMA MWIKO.-


UPDATES:KASEKE AKISAINI LEO ASUBUHI KUICHEZEA YANGA.

UPDATES:KASEKE AKABIDHIWA UZI No4 aliokua akiuvaa chuji.

=============================
=============================


 

Attachments

  • images-1.jpeg
    9.4 KB · Views: 1,020
  • images-20.jpeg
    5.7 KB · Views: 2,807
  • kaseke.jpg
    7.5 KB · Views: 2,610
  • kaseke+tambulishwa+2.jpg
    6.8 KB · Views: 1,472
Bado dirisha la usajili halijafunguliwa
 
Karibuni jangwani madogo mufanye kaz iliyowaleta.
 
Kwan dirisha c hua waz lig ikiisha tu,au tz tofaut
 
SO WHAT?.....Wachezaji wenyewe mnawakopa hamna uwezo wa kuwalipa mishahara
 
chanongo Simba wamemkataa hata bure, Ni mchezaji ambaye hajitambui anaweka ushabiki wake kwa yanga mbele kama mliangalia mechi kati ya stand united dakika ya 92 alishndwa kufunga akiwa yeye na goli maana kipa alishaenda malikiti...
 
pole sana!!

Sawa endelea na updates zako kwanza mi sio mshabiki wa mikia kama kweli yanga wamechukua hao vilaza wamenikera bado hawajafikia hadhi ya yanga tuko na hitaji la wachezaji lakini sio kama hao
 
Yanga inasajili kwa ajili ya ligi yetu ya kombe la mbuzi au kushindana na timu kama Tp Mazembe na Zamalek?
 
Kuhusu haruna chanongo yanga wamelamba dume coz ni mchezaji mwenye kasi kama ya kina msuva na ngasa,so ni mchezaji anaeendana na falsafa yetu..
 
chanongo Simba wamemkataa hata bure, Ni mchezaji ambaye hajitambui anaweka ushabiki wake kwa yanga mbele kama mliangalia mechi kati ya stand united dakika ya 92 alishndwa kufunga akiwa yeye na goli maana kipa alishaenda malikiti...

lakini mbona ashawahi kuifunga yanga huyu?
 
Lakini hao wachezaji ni mahitaji ya kocha au ya viongozi,
kwa maana Deus Kaseke na huyo Peter Mwalyanzi aliyesaini simba walikuwa kama mpira wa kona kwa Yanga na Simba,
Ngoja tusubili kama watatusaidia.
 
Lakini hao wachezaji ni mahitaji ya kocha au ya viongozi,
kwa maana Deus Kaseke na huyo Peter Mwalyanzi aliyesaini simba walikuwa kama mpira wa kona kwa Yanga na Simba,
Ngoja tusubili kama watatusaidia.

Simba wamesajili kwa fasion kwa sabb midfield wanao wengi na wazuri but yanga wameshugulika na kuziba pengo la ngasa
 
Simba wamesajili kwa fasion kwa sabb midfield wanao wengi na wazuri but yanga wameshugulika na kuziba pengo la ngasa


Mkuu kama ni mahitaji ya mwalimu hakuna shida kwani ndo anajua mchezaji yupi anafaa nafasi ipi?
 
Sawa endelea na updates zako kwanza mi sio mshabiki wa mikia kama kweli yanga wamechukua hao vilaza wamenikera bado hawajafikia hadhi ya yanga tuko na hitaji la wachezaji lakini sio kama hao

kwa mfano mchezaji gani wa nchi hii anafaa kusajiliwa yanga?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…