Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Huenda amepelekwa Dodoma kupimwa afya ya akili, huu ni upelelezi wa aina mpya ya intelijensia.Wanabodi
This is a developing story
Yaani story muendelezo
Jana jioni katika eneo la Magomeni Usalama, Gari Toyota Landcruiser Hard Top No. DFP 8106 Yagonga mtu na kumua kwa ajali, mwanamke mmoja. Mwanzo gari na dereva wake walidakwa na kuhifadhiwa kituo cha polisi cha Magomeni Polisi. Leo Dereva Amesepa, kwa kusepishwa na Polisi!
Itaendelea kesho.
Paskali