Huyo Devota hawezi mshinda Abood anapoteza muda wake tu!Jamii ya kitumwa huwaza utumwa siku zote , Who is Abood by the way ? kuwapa magari ya kuzikia ndugu zenu waliokufa kwa umasikini ndio tija ?
kuondoa utekaji, matusi kwa raia na uonevuAna sera zipi?
Malalamiko FC!kuondoa utekaji , matusi kwa raia na uonevu
Mwanawane wewe unatumika mbele na nyuma!Vituko haviishi [emoji16][emoji23][emoji1787]View attachment 1575435
Kwenye uchaguzi wanaomtoa kiongozi mbovu ni wananchiHuo ndo ukwel mchungu! Devotha hana uwezo wa kumtoa Abood Moro! Msifurahishane humu!
Sio ajabu anaweza hata kumpisha alale na mkewe kitandani yeye alale sebuleniJamii ya kitumwa huwaza utumwa siku zote , Who is Abood by the way ? kuwapa magari ya kuzikia ndugu zenu waliokufa kwa umasikini ndio tija ?
Tuliwaonya wakapuuzaCcm ndo basi tens time for burials.
Change is a process kma Wassira aliangushwaga na say binti wa kumzaa tena wa mwisho then anythin is possible kwenye siasa.Huyo Devota hawezi mshinda Abood anapoteza muda wake tu!
vijana wa ccm ni duni sana !Siku mkijua nia ya JPM.kwa taifa hili mtasaga meno,wajanja washaanza kuhamishia familia zao nje
Abood kafanya lipi la maana hapo Moro? Tatizo watu Moro hamjielewi!Mnaota kweli chadomo ! Yaani Minja amtoe Abood Moro! .kweli akili zenu ndo zilipoishia!.
Ukweli mtupu !wengi wao ni wachumia tumbo,akili zimehamia makalioni
huwa anatoa magari ya kwenda kuzikiaAbood kafanya lipi la maana hapo Moro? Tatizo watu Moro hamjielewi!
Kwa taarifa yako Devota aliamua kwa makusudi kukosea kujaza fomu za uteuzi ili aenguliwe asipoteze kugombea sehemu aliyo na uhakika wa kushindwa. Hata hiyo rufaa kakatiwa na wapambe sio yeyr aliyejishughulishaHakika ilikuwa ni lazima kumuengua Devota Minja ili asigombee ubunge Morogoro Mjini , maana kumuacha kumeleta kifo cha ghafla kwa ccm .
Hali ndio kama mnavyoona wenyewe
View attachment 1575417View attachment 1575418View attachment 1575419View attachment 1575420View attachment 1575421View attachment 1575422View attachment 1575423
Mjumbe wa kamati kuu , mchungaji Msigwa akimnadi Mgombea ubunge wa Chadema Morogoro mjini Devota Minja
View attachment 1575441
Kama wa kumtoa hajazaliwa ilikuwaje akacheza mchezo wa kihuni ili Minja asigombee? Mtu ambaye hawezi hata kujieleza mwenyewe unasema hawezi kushindwa? CCM mna ujinga mwingi sana!Wa kumtoa Abood Moro bado hajazaliwa!
Kawadanganye wajinga, sio JFKwa taarifa yako Devota aliamua kwa makusudi kukosea kujaza fomu za uteuzi ili aenguliwe asipoteze kugombea sehemu aliyo na uhakika wa kushindwa. Hata hiyo rufaa kakatiwa na wapambe sio yeyr aliyejishughulisha