Uchaguzi 2020 Devota Minja (CHADEMA) aendelea na Kampeni kusaka Ubunge Morogoro Mjini

Uchaguzi 2020 Devota Minja (CHADEMA) aendelea na Kampeni kusaka Ubunge Morogoro Mjini

Jamii ya kitumwa huwaza utumwa siku zote , Who is Abood by the way ? kuwapa magari ya kuzikia ndugu zenu waliokufa kwa umasikini ndio tija ?
Huyo Devota hawezi mshinda Abood anapoteza muda wake tu!
 
Jamii ya kitumwa huwaza utumwa siku zote , Who is Abood by the way ? kuwapa magari ya kuzikia ndugu zenu waliokufa kwa umasikini ndio tija ?
Sio ajabu anaweza hata kumpisha alale na mkewe kitandani yeye alale sebuleni
 
Huyo Devota hawezi mshinda Abood anapoteza muda wake tu!
Change is a process kma Wassira aliangushwaga na say binti wa kumzaa tena wa mwisho then anythin is possible kwenye siasa.

Nani aliejuaga Dar ingewahi ongozwa na Meya wa CHADEMA? Acheni assumption wkt mnatype mkiwa Chato
 
Aboud anafikiri anaweza kuendelea kununua ubunge miaka yote!!
 
Niseme tu ukweli post zako hasa headings hua zina nikosha sana bidada 😊 ! Yaani utadhani kweli !
 
Hakika ilikuwa ni lazima kumuengua Devota Minja ili asigombee ubunge Morogoro Mjini , maana kumuacha kumeleta kifo cha ghafla kwa ccm .

Hali ndio kama mnavyoona wenyewe

View attachment 1575417View attachment 1575418View attachment 1575419View attachment 1575420View attachment 1575421View attachment 1575422View attachment 1575423
Mjumbe wa kamati kuu , mchungaji Msigwa akimnadi Mgombea ubunge wa Chadema Morogoro mjini Devota Minja

View attachment 1575441
Kwa taarifa yako Devota aliamua kwa makusudi kukosea kujaza fomu za uteuzi ili aenguliwe asipoteze kugombea sehemu aliyo na uhakika wa kushindwa. Hata hiyo rufaa kakatiwa na wapambe sio yeyr aliyejishughulisha
 
Wa kumtoa Abood Moro bado hajazaliwa!
Kama wa kumtoa hajazaliwa ilikuwaje akacheza mchezo wa kihuni ili Minja asigombee? Mtu ambaye hawezi hata kujieleza mwenyewe unasema hawezi kushindwa? CCM mna ujinga mwingi sana!
 
Kwa taarifa yako Devota aliamua kwa makusudi kukosea kujaza fomu za uteuzi ili aenguliwe asipoteze kugombea sehemu aliyo na uhakika wa kushindwa. Hata hiyo rufaa kakatiwa na wapambe sio yeyr aliyejishughulisha
Kawadanganye wajinga, sio JF
 
Back
Top Bottom