TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Mnaabisha wanaounga mkono Chama cha Mbowe!!Ndiyo, kwani wewe unatakaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaabisha wanaounga mkono Chama cha Mbowe!!Ndiyo, kwani wewe unatakaje?
am not politicians ?!!!!!Hivi wewe kiazi, kushikiliwa akili na mwenyekiti anayejitambua mbona ni nafuu kuliko baadhi ya tamthilia za vichekesho?
Kuna watu nikiambiwa huyu ni mwenyekiti wako naweza kuangua kilio.View attachment 1591866
Sijui sisi watanzania tulikua wapi kudai tume ya Uchaguzi , majirani zetu Kenya wanashangaa, mgombea ndiye anayeteua wajumbe, wakurugenzi na makamishna wa tume kweli tutegemee mkurugenzi atamwangusha aliyempa ugali?? Tuamke tuamkeMgombea ubunge wa Morogoro mjini kupitia Chadema Mhe. Devotha Minja katika mikutano yake amekuwa akikatisha hotuba zake kwa kuweka clip ya sauti ya Magufuli. Katika clip hiyo anasikika Mhe. Rais Magufuli akimshambulia Abood mbunge wa CCM awamu iliyopita na aliyepitishwa tena na CCM akiomba miaka 5 tena.
Mhe. Magufuli akihutumbia wafanyabiashara wa stendi ya mabsi ya Msamvu alimshambulia Abood kwa kugeuza shughuli za viwanda alivyobinafishiwa na kugeuza kuwa mazizi ya mifugo yake huku Watanzania wakikosa ajira. Anasikika Magufuli akisema " kuna mbunge wa hapa wa CCM amegeuza kiwanda kuwa zizi huku akiwakosesha ajira". Mhe. Devotha Minja ambaye ni mtangazaji wa zamani wa ITV na mbunge wa viti maalum wa awamu iliyopita amerudishwa na NEC baada ya kukata rufaa kwani awali Mhe. Abood alishatangazwa kupita bila kupingwa.
Mchuano unaonekana kuwa mkali Kati ya wagombea hawa licha ya Abood kufanya kazi za ubunge kama mfadhili lakini hana uwezo wa kujenga hoja na ushawishi kwa wapiga kura awapo majukwani. Wafuatiliaji wa mchuano huu wanadai kuwa Devotha Minja anaweza shinda kutokana na kuungwa mkono na akina mama wengi na wafanyabiashara wengi Wa kichaga ambao ndiyo sehemu kubwa ya wafanyabiashara hapa Morogoro.
Sababu nyingine inayotajwa ni mgawanyiko mkubwa wa wana CCM, wale waliokosa kuwekwa kwenye kundi la kampeni wamekuwa wasaliti kwa kukosa pesa ya posho ya mfanyabiashara huyu wa mabasi na mafuta. WanaCCM wengi wamekuwa wakionekana kwenye mikutano ya Devotha Minja.
Kuomba kusuguliwa ndio sera mpya ya mboga mbogandiyo.
Mtarimbo umekuganda ehh??
Kwanini alienguliwa kama si tishio, huu ni upotoloHuyo mama bora hiyo hela angewekeza kwenye biashar, Abood hawezi kumshinda, tena Morogoro kwa waluguru na wapogoro hahaha, anapoteza muda
Sio ngumu tu, HAWEZI...Devota yuko vizuri kuliko Abood kwa hoja na sera ila kushinda kwa sasa ni ngumu
Bichwa lakoKwanini alienguliwa kama si tishio, huu ni upotolo
Abood kwisha habari yake , njia rahisi ilikuwa ile iliyofeli ya kumnunua msimamizi na RPC , Msaada wa magari ya kubebea wafiwa umefeliKuweka clip ndio sera za CHADEMA?
Tangu CCM ilivyokutelekeza njaa imekufanya uwe na hoja duni sana ! sasa abood kuwapa magari mkazikie ndugu zenu waliokufa kwa umasikini ndio uongozi huo ?Sio ngumu tu, HAWEZI...
Uongozi sio mdomomdomo mtupu
Unaota wewe!Abood kwisha habari yake , njia rahisi ilikuwa ile iliyofeli ya kumnunua msimamizi na RPC , Msaada wa magari ya kubebea wafiwa umefeli
jiandae sana kiakili mkuu , kuna dalili ya kuwehuka baada ya uchaguziUnaota wewe!
Kwani yalipo kwenye clip ni propaganda au ni uhalisia ulivyo?Kuweka clip ndio sera za CHADEMA?
Mbinu/mkakati mojawapo ktk kusaka ushindi. Chadema hatuna Dola wala Tume ya Uchaguzi.Kuweka clip ndio sera za CHADEMA?