Uchaguzi 2020 Devotha Minja afuata nyayo za Lema na Mdee, aweka clip ya Magufuli akimshambulia Abood Aziz

Sijui sisi watanzania tulikua wapi kudai tume ya Uchaguzi , majirani zetu Kenya wanashangaa, mgombea ndiye anayeteua wajumbe, wakurugenzi na makamishna wa tume kweli tutegemee mkurugenzi atamwangusha aliyempa ugali?? Tuamke tuamke
 
Huyo mama bora hiyo hela angewekeza kwenye biashar, Abood hawezi kumshinda, tena Morogoro kwa waluguru na wapogoro hahaha, anapoteza muda
Kwanini alienguliwa kama si tishio, huu ni upotolo
 
Sio ngumu tu, HAWEZI...

Uongozi sio mdomomdomo mtupu
Tangu CCM ilivyokutelekeza njaa imekufanya uwe na hoja duni sana ! sasa abood kuwapa magari mkazikie ndugu zenu waliokufa kwa umasikini ndio uongozi huo ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…