Devotha Minja: Namshangaa Hussein Bashe kutaka Bodaboda za Maafisa Ugani zifungwe GPS

Devotha Minja: Namshangaa Hussein Bashe kutaka Bodaboda za Maafisa Ugani zifungwe GPS

"Namshangaa Hussein Bashe anataka pikipiki za maafisa Ugani zifungwe GPS, mbona wao kwenye V8 zao hawajafungiwa" Devotha Minja. Mbunge wa wananchi Jimbo la Morogoro Mjini.


Chanzo: Jambo TV

===
Devotha Minja, ambaye alikuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Morogoro Mjini kwa tiketi ya CHADEMA amekosoa mapendekezo ya Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ya Kufunga GPS kwenye pikipiki za maafisa ugani akisema huo ni mradi wa mtu wa kupiga hela.

Amesema suala hilo halina msaada wowote wala tija. Ametolea mfano kuwa afisa ugani akiwa na mwenzi wake ambaye anaumwa atashindwa kutumia pikipiki hiyo kwa kuwa imefungwa vifaa hivyo hali ambayo itaondoa motisha kwa maafisa ugani.

Amesema mawaziri wana magari mazuri kwa matumizi yao binafsi na wanajaribu kuwabana maafisa ugani kwa masuala madogo.
GPS ni hatua nzuri sana ya ku monitor utendani kazi wa Wagani.

Mbona ubishi huo hauna Tija?

By the way
Haikatazwi kufanya kazi nyingine lakini awe wazi na awe na Sababu!
 
Chadema tukisema waneishiwa sera hatutanii

Humu ndani mna kesi huko huho morogoro kuna mtu kahukumiwa kunyongwa kwa kupora mtu pikipiki na kumuua

Declvota Minja ni mwizi wa pikipiki nini? Anataka akiiba pikipiki isijulikane iliibuwa na yeye kwenye eneo lake.au ? GPS hata akiporwa itaonyesha eneo aliloporwa

Pili magari yote ya serikali yana log Book kuonyesha unatoka wapi kwenda wapi na bosi kwenye gari huhakiki

Pikipiki ni self drive .GPS itahakiki akisema anaenda kusaidia wakulima eneo fulani GPS itasoma kama kweli kaenda huko na wakulima au wafugaji watathibitisha hilo kuwa alifika huko

GPS ni njia ya kudhibiti na kuhakiki utendaji wa kazi na kuhakikisha inatumika tu eneo lake la kazi na muda wa kazi

Chadema kukosa sera zao matokeo ndio haya wanaishia kudandia tu kila kinachofanywa na serikali ya.CCM
 
Binadamu tumepewa akili na ujuzi ili tutumie kwa ufanisi (efficiently).
Hata hivyo, twaweza kutumia akili na ujuzi wetu vibaya tukijua au kutokujua na tukapunguza ufanisi wa tunalokusudia.
Kwa hiyo, tunatakiwa kuangalia thamani itakayoongezeka kwenye ufungaji wa hivyo vifaa, gharama za ueneshaji zikizingatiwa.
Ni rahisi sana kwa serikali kuturudisha utumwani kiuchumi kupitia teknolojia.
Umangungo wa karne hii utakuja kupitia teknolojia hizi hizi.
 
HILI WAZO LILITOLEWA NA RAIS SAMIA MWAKA JANA WAKATI WA UGAWAJI WA PIKIPIKI HIZO. BINAFSI NAONA IMEKAA POA.
 
Huyo mama Hana akili
Wizi wa bodaboda ni Sawa na wizi wa V8?...
Boda boda za mitaani Tu zina GPS
Shida iko wapi
Wewe ndio huna akili kabisa, Ubongo wako nahisi umejaa utabdo wa konokono, Wamefunga ili zisiibiwe au ili kudhibiti movement?

Alie kuambia zimefungwa ili zisiibiwe ni nani? Hizo GPS ni kudhibiti matumizi ya hio pikipi, sasa je Magari hayatumiwi ndivyo sivyo?


Hizo V8 kutwa nzima si zinasomba mademu?
 
Huyo mama kaona mbali hapo aliposema itakua ni dili la mtu.kwasababu siku zote iko hivyo.kuna mavifaa mengi yanatengenezwa uko ulaya na china na soko lake kubwa liko afrika.Viongozi wanakuja kuvipigia debe vinanunuliwa kwa fujo ila baada ya miaka michache vinakua havina tena cha maana na wala hutasikia kikizungumziwa tena.watu wameshapiga ela yao wanawaangalia tu mmejazana na mavifaa yasiyo kazi stoo.mifano iko mingi sana.
Ni Dili la mtu yes, ila humu vilaza tuko wengi hili hatulioni, nchi ina wajinga wengi wacha tupigwe
 
GPS ni hatua nzuri sana ya ku monitor utendani kazi wa Wagani.

Mbona ubishi huo hauna Tija?

By the way
Haikatazwi kufanya kazi nyingine lakini awe wazi na awe na Sababu!
Hao wa juu nani ana monitor utendaji wao? Au Hao afisa Ugan wanaongozwa na HR manual tofauti na watumishi wengine wa Umma? Huna akili wewe
 
Chadema tukisema waneishiwa sera hatutanii

Humu ndani mna kesi huko huho morogoro kuna mtu kahukumiwa kunyongwa kwa kupora mtu pikipiki na kumuua

Declvota Minja ni mwizi wa pikipiki nini? Anataka akiiba pikipiki isijulikane iliibuwa na yeye kwenye eneo lake.au ? GPS hata akiporwa itaonyesha eneo aliloporwa

Pili magari yote ya serikali yana log Book kuonyesha unatoka wapi kwenda wapi na bosi kwenye gari huhakiki

Pikipiki ni self drive .GPS itahakiki akisema anaenda kusaidia wakulima eneo fulani GPS itasoma kama kweli kaenda huko na wakulima au wafugaji watathibitisha hilo kuwa alifika huko

GPS ni njia ya kudhibiti na kuhakiki utendaji wa kazi na kuhakikisha inatumika tu eneo lake la kazi na muda wa kazi

Chadema kukosa sera zao matokeo ndio haya wanaishia kudandia tu kila kinachofanywa na serikali ya.CCM
Kuna Watu wanatumia magari hadi kwendea mashambani kwao huo nani ana hakiki? we ni pungu one
 
Lazima uwe na pa kuanzia,

Tukianza na hao maafisa ugani tutakwenda kila sehemu mpaka kwa mawaziri,

Its a good idea, it only needs implementation
Ni upumbavu wa kiwango cha lami kwamba aliesema lile wazo hakutaka lianzie kwenye circle yake ametaka lianzie kwa vidagaa, these motherfuckers very selfish.... Kwani i Yasianzie kwao hayo maGPS... HAYO MAJAMAA SIYAPENDI KWELI KWELI YANI
 
HILI WAZO LILITOLEWA NA RAIS SAMIA MWAKA JANA WAKATI WA UGAWAJI WA PIKIPIKI HIZO. BINAFSI NAONA IMEKAA POA.
Kwa hio wazo liko kwenye pikipiki pekee? Hivi nani asio jua matumizi ya hovyo ya Magari ya Serikali? hata kipofu anajua hili, so matumizi mabaya yako tu kwenye pikipiki?

Hivi wakati Ubinasifishaji unaingia pia uwezi wetu wa kuwaza tuliubinasifisha? Mbona tuko very too low?
 
Back
Top Bottom