Devotha Minja: Namshangaa Hussein Bashe kutaka Bodaboda za Maafisa Ugani zifungwe GPS

Devotha Minja: Namshangaa Hussein Bashe kutaka Bodaboda za Maafisa Ugani zifungwe GPS

Shida ni upigaji..connections

Kazi inaanza pale Gps Pikipiki moja kufunga tu ni 10,000,000Tsh.

Wazo ni zuri
 
Shida ni upigaji..connections

Kazi inaanza pale Gps Pikipiki moja kufunga tu ni 10,000,000Tsh.

Wazo ni zuri
 
Lengo la Bashe kufunga GPS ni Lipi!?
Na kama lengo ni zuri na linasaidia kuboresha utendaji hizo GPS zifungwe kwenye Magari yote ya watumishi wa umma wakiwamo mawaziri [emoji1787]
Nchi hii ina majambazi eti ni viongozi,hivi wanafunga huo mfumo kwa pikipiki ya Afisa ugani na hawezeshwi wala mafuta na hana vitendea kazi vya kupimia udongo na kishikwambi kutunzia taarifa alafu wanatumia Mabilioni kufunga GPS,shamba la Bibi
 
"Namshangaa Hussein Bashe anataka pikipiki za maafisa Ugani zifungwe GPS, mbona wao kwenye V8 zao hawajafungiwa" Devotha Minja. Mbunge wa wananchi Jimbo la Morogoro Mjini.


Chanzo: Jambo TV

===
Devotha Minja, ambaye alikuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Morogoro Mjini kwa tiketi ya CHADEMA amekosoa mapendekezo ya Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ya Kufunga GPS kwenye pikipiki za maafisa ugani akisema huo ni mradi wa mtu wa kupiga hela.

Amesema suala hilo halina msaada wowote wala tija. Ametolea mfano kuwa afisa ugani akiwa na mwenzi wake ambaye anaumwa atashindwa kutumia pikipiki hiyo kwa kuwa imefungwa vifaa hivyo hali ambayo itaondoa motisha kwa maafisa ugani.

Amesema mawaziri wana magari mazuri kwa matumizi yao binafsi na wanajaribu kuwabana maafisa ugani kwa masuala madogo.
Haijakaa sawa,waanze wao kuwa mfano wa GPS!
 
Back
Top Bottom