adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
Shida ni upigaji..connections
Kazi inaanza pale Gps Pikipiki moja kufunga tu ni 10,000,000Tsh.
Wazo ni zuri
Kazi inaanza pale Gps Pikipiki moja kufunga tu ni 10,000,000Tsh.
Wazo ni zuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AnopheresNguruwe jike wee!
HahahahUnashida gani,kama hujala sema nikurushie buku
Hv unajua sahv wanasiasa wanabuni mbinu za kuipiga serikal,anataka aweke gps apige mapesa kwa hyo tena au wewe ndo waziri mwenyewe pimbi wew
Na wewe ndio Devota mwenyewe?Duu! Sasa unataka kulinganisha na hizo kamasi zako ulizojaza kwenye hilo fuvu!
Kiwavi!Anopheres
Mimi ni basha wako!Na wewe ndio Devota mwenyewe?
Pole bibie, wengine mko bungeni kwa kubebwa.
Nchi hii ina majambazi eti ni viongozi,hivi wanafunga huo mfumo kwa pikipiki ya Afisa ugani na hawezeshwi wala mafuta na hana vitendea kazi vya kupimia udongo na kishikwambi kutunzia taarifa alafu wanatumia Mabilioni kufunga GPS,shamba la BibiLengo la Bashe kufunga GPS ni Lipi!?
Na kama lengo ni zuri na linasaidia kuboresha utendaji hizo GPS zifungwe kwenye Magari yote ya watumishi wa umma wakiwamo mawaziri [emoji1787]
NzigeKiwavi!
kwa hisan ya watu wa marekani napatikano popote kwenye pkpk za bashe zenye kishikizo cha koti la suti {gps} huduma hiy ya kutoa huto tudude naitoa bure nchi nzima, nb nayeye afunge kwenye gari yake tusipangianeMtu wa matombo huko hadi apate muda wa kukufikia
Haijakaa sawa,waanze wao kuwa mfano wa GPS!"Namshangaa Hussein Bashe anataka pikipiki za maafisa Ugani zifungwe GPS, mbona wao kwenye V8 zao hawajafungiwa" Devotha Minja. Mbunge wa wananchi Jimbo la Morogoro Mjini.
Chanzo: Jambo TV
===
Devotha Minja, ambaye alikuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Morogoro Mjini kwa tiketi ya CHADEMA amekosoa mapendekezo ya Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ya Kufunga GPS kwenye pikipiki za maafisa ugani akisema huo ni mradi wa mtu wa kupiga hela.
Amesema suala hilo halina msaada wowote wala tija. Ametolea mfano kuwa afisa ugani akiwa na mwenzi wake ambaye anaumwa atashindwa kutumia pikipiki hiyo kwa kuwa imefungwa vifaa hivyo hali ambayo itaondoa motisha kwa maafisa ugani.
Amesema mawaziri wana magari mazuri kwa matumizi yao binafsi na wanajaribu kuwabana maafisa ugani kwa masuala madogo.
Nakubaliana na wewe. Nchi ina viongozi wasiotaka kubanwa Ila wao ni mahiri kubana wa chini yao.Lengo la Bashe kufunga GPS ni Lipi!?
Na kama lengo ni zuri na linasaidia kuboresha utendaji hizo GPS zifungwe kwenye Magari yote ya watumishi wa umma wakiwamo mawaziri [emoji1787]
Ahahaha nimecheka we jamaa ahahaha kwenye ma heavy duty car yao sio ahahahahaWanataka kuongeza kwenye Dizeli.
Mjinga mkubwa huyoSasa kapikpik tu ka mil 3 nako anaona ni dili sana,mjinga sana
Na wala hajakanunua yeye!Sasa kapikpik tu ka mil 3 nako anaona ni dili sana,mjinga sana