moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 142,674
- 743,909
Mpira wa Tanzania unaongozwa na binadam.
Kwa vyovyote vile hawa binadamu nao wana mapenzi yao kwa timu zinazoshiriki ligi yetu.
Kwa kifupi kiongozi kuwa mwanasimba au timu nyingine siyo sababu ya Simba kufumbia macho mikataba ya ovyo.
Simba itaendelea kudai haki zake bila kujali nani yuko wapi.
Kwa vyovyote vile hawa binadamu nao wana mapenzi yao kwa timu zinazoshiriki ligi yetu.
Kwa kifupi kiongozi kuwa mwanasimba au timu nyingine siyo sababu ya Simba kufumbia macho mikataba ya ovyo.
Simba itaendelea kudai haki zake bila kujali nani yuko wapi.