zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Sasa si alisema JPM na ripoti nimeweka hapo!! Hoja hapa ni double standards za vita ya ufisadi maana tuliambiwa Mwanyika kasababisha hasara ya Trillion 450 afu hapo hapo kapewa ubunge hiyo ndio bottom line ya mjadala.kumbe na wewe umeshangaaa kama mimi aiseee hawa watu ni wapuuzi yan
Acha kupotosha anayeteua ni kamati kuu hao huko chini ni kura ya maoni tu na hiyo Sio CCM tu ni mpaka Chadema, CUF n.k wagombea wanateuliwa na kamati kuu not otherwise ndio maana pale Kawe alishinda mwingine ila ubunge akapewa mshindi wa Tatu Mr Gwajima.Mchakato unaanzia kwenye kata zote za jimbo husika kupitia wajumbe.
Mimi ninavyojua mimi kamati kuu wanaangalia mchakato wa uchaguzi ktk kata kama uligubikwa na rushwa na si past ya mtu na ndio maana wakina Tibaijuka, Muhongo na Chenge walipita pamoja na tuhuma zao.
Kwa hiyo ukiwa upinzani ndio unaonekana wa University? Ila hamna ujinga mbaya kujiona unajua, kumbe huna unachokijua zaidi ya kichwa chako kukigeuza kontena la kuhifadhi maneno ya wanasiasa na mara zote sababu ya ujinga wengi hampendi kurekebishwa.
Kweli aliyesema akili ni nywele ila haja identify za kwenye eneo gani.Sasa kwa nini Tibaijuka,Muhongo, Chenge si walikuwa na tuhuma vipi walipita au hawakupita? Na kama wamepita je wamepitishwa kwa sababu zipi?Acha kupotosha anayeteua ni kamati kuu hao huko chini ni kura ya maoni tu na hiyo Sio CCM tu ni mpaka Chadema, CUF n.k wagombea wanateuliwa na kamati kuu not otherwise ndio maana pale Kawe alishinda mwingine ila ubunge akapewa mshindi wa Tatu Mr Gwajima.
2. Yes huwezi Kuta mtu Yuko opposition hajitambui kichwani au hujiulizi kwanini Kila Chadema/ACT anayejiunga CCM anakula shavu kuliko UVCCM waliojazana huko!! Ni rare sana kukuta mwana CCM ana reasoning nzuri na hii ni kwa mujibu wa Tafiti ya TWAWEZA 2018!!
Dhahabu toka Tanzania imekamatwa Ijumaa iliyopita toka kwa abiria wa kihindi aliyetoka Tanzania.
Dhahabu hiyo imenukuliwa kuwa kiasi cha kilo 61 toka kwa abiria wanne(sasa imeelezwa kuwa ni abiria saba).
Hii ni syndicate.
Maafisa wa Customs India waliwakamata wahindi hao na kiasi hicho cha dhahabu, sisi Customs wetu wanahongwa tu.
Mama Tanzania tumekwisha.
Mumbai Airport Customs seize 61 kg gold worth Rs 32 crore in a day. FM Niramala Sitharaman lauds the alertness
At Mumbai Airport, based on the continuous monitoring of suspicious flights and building on the data-based analysis from the earlier high-quantum gold and foreign currency seizures, a systematic profiling of suspect passengers was undertaken on sensitive flights from certain places in Africa and...m.economictimes.com Maharashtra: 61 kg gold worth Rs 32 cr seized at Mumbai airport by customs dept; 4 arrested
61 kg of gold worth Rs 32 crore was seized on Sunday at Mumbai airport by the customs department. Customs officials arrested four people in this matter.economictimes.indiatimes.com
UPDATE LEO
Serikali inafuatilia.......
Big upππ
View attachment 2417162
Na sekta hiyo haikosi wezi, kuanzia wale nyokaa, maboss wenyewe mpaka wizara yenyeweAcha uongo, kwani kipindi Cha JPM Dhahabu haikukamatwa Nairobi? Ikarudishwa na Kenyatta? Wizi haujawahi kuisha chini ya CCM.
Hata ukaguzi wa Mererani ulionyesha watu walipitisha madini chini ya ukuta!!
Whether JPM au Samia au Kikwete wizi wa madini haukuwahi kuisha msitake kujifanya kama vile CCM iliwahi kuwa safi kipindi Cha JPM.
Ahaaa! Hapo nimeelewa vizuri kabisa bila scratch, huyo ndugu alinipagawasha kama sio kunichanganya.Anachosema jamaa mfano Kila nchi Ina Sheria zake mathalani unaweza kutoa Hela zako kwenye benki kihalali kabisa ila kusafiri na cash kupo limited kwenye nchi na nchi so ukisafiri na cash labda Dollar laki 5 hawaruhusu so mtu ukikamatwa Nazo ni kosa licha ya kwamba Sio za wizi.
So mtu hata kama angechukua Dhahabu kihalali Bongo ila anaogopa Kodi hizo kwa nchi husika so anaona Bora afiche kwenye begi kuepuka tozo so ukidakwa ni kosa hata kama ulinunua kihalali.
Jamaa ndio alijengea hoja hapo.
Huyu msudani katoka nayo wapi mpaka kafika nayo doha!!? Fojifoji nangai huyu mwizi na wakikaa nae vzr wale wa v8_2022_namba A atasema vzr, japo nao wamchongoNakubaliana na hoja zako ila hapo umetranslate kimakosa, hao waliotoka TZ walikua hawana Dhahabu wamepewa na MSUDANI aliyekua DOHA ndio wao wakaipeleka MUMBAI!! So Dhahabu haikusafirishwa from Tanzania according the article ila WAMEIKUTA "njiani".