HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Mbona kawaida hiyo. Kitu inatoka jikoni haiendi Ukaguzi na haikai hapo.Hata leo kuna kilo 30 kupitia mpaka wa Sirari zimepitishwa na boda boda
Inavuka boda kibati Nairobi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kawaida hiyo. Kitu inatoka jikoni haiendi Ukaguzi na haikai hapo.Hata leo kuna kilo 30 kupitia mpaka wa Sirari zimepitishwa na boda boda
Kiongozi yeyote anayejifanya kukumbatia demokrasia katika nchi za Afika hukalibisha wizi, rushwa, ubadhirifu, uonevu na uharifu uliokithiri bila kukemewa kwa kuwa wanufaika wanapata cha kwao ndivyo ilivyo kwa sasa Tanzania hamna kitu na wewe ni mmojawapo mlikokuwa mnashadadia sana utawala huu usiokuwa na huruma na rasilimali za nchi wala kujali wananchi wananufaika moja kwa moja.Dhahabu toka Tanzania imekamatwa Ijumaa iliyopita toka kwa abiria wa kihindi aliyetoka Tanzania.
Dhahabu hiyo imenukuliwa kuwa kiasi cha kilo 61 toka kwa abiria wanne.
Maafisa wa Customs waliwakamata wahindi hao na kiasi hicho cha dhahabu, sisi Customs wetu wanahongwa tu.
Mama Tanzania tumekwisha.
![]()
Mumbai Airport Customs seize 61 kg gold worth Rs 32 crore in a day. FM Niramala Sitharaman lauds the alertness
At Mumbai Airport, based on the continuous monitoring of suspicious flights and building on the data-based analysis from the earlier high-quantum gold and foreign currency seizures, a systematic profiling of suspect passengers was undertaken on sensitive flights from certain places in Africa and...m.economictimes.com
Kuna mtu mmoja hivi huyo ndio mvurugaji mkuu kwa tamaa zake na familia yake.sasa hivi kila mtu anajilia tu kulingana na aliposimama, Sasa serikali ipo full corrupt kuliko wakati mwingine wowote.
Kuna wakati kuna watu inabidi wafe, waumizwe au hata kuwa jela ili wengi wapone.
Ndio namshangaa mbwiga mmoja anasema et imelipiwa au mnataka tuchane mikeka na njia zinakopitishwa?Mbona kawaida hiyo. Kitu inatoka jikoni haiendi Ukaguzi na haikai hapo.
Inavuka boda kibati Nairobi
🤣🤣🤣🤣🤣Suala siyo waziri, kama rais karuhusu upigaji unafikiri waziri anaweza zuia? Kumbuka habari za Lyatonga (R.I.P).
"Mtanikumbuka kwa mazuri".
Hata ukitaja njia haitazuia utoroshajiNdio namshangaa mbwiga mmoja anasema et imelipiwa au mnataka tuchane mikeka na njia zinakopitishwa?
"In the first case, customs department seized 53 kg of gold valued at Rs 28.17 crore from four passengers of Indian nationality. The passenger landed at Mumbai airport in a flight from Tanzania. They were smuggling gold in the form of one Kg bars ingeniously concealed in specially designed waist belts with multiple pockets.Wapi hiyo habari imesema dhahabu zimetoka Tanzania?
Hawa mataahira hawatakuelewa adui yao Magufuli tu kila baya la mama Samia wanamsingizia Magufuli! Umeme ukikatika wanasema Magufuli alikata miti milioni 2 maji yakikata vilele wanaongea!"In the first case, customs department seized 53 kg of gold valued at Rs 28.17 crore from four passengers of Indian nationality. The passenger landed at Mumbai airport in a flight from Tanzania. They were smuggling gold in the form of one Kg bars ingeniously concealed in specially designed waist belts with multiple pockets.
The specially designed belts with UAE-made gold bars concealed inside were reportedly handed over to the passengers by a person of Sudanese nationality at Doha airport .."
Dhahabu imetoka Tanzania wazi kabisa, kufika Doha ikabidi ifichwe kwenye hizo special belts during Transit.
Huyu mama kawafanya muwe wehu, kila kitu mnatetea, ati tu kwa sababu hamkumpenda JPM, -------- cretinous stupidity
Exactly, you nailed black and white dude"In the first case, customs department seized 53 kg of gold valued at Rs 28.17 crore from four passengers of Indian nationality. The passenger landed at Mumbai airport in a flight from Tanzania. They were smuggling gold in the form of one Kg bars ingeniously concealed in specially designed waist belts with multiple pockets.
The specially designed belts with UAE-made gold bars concealed inside were reportedly handed over to the passengers by a person of Sudanese nationality at Doha airport .."
Dhahabu imetoka Tanzania wazi kabisa, kufika Doha ikabidi ifichwe kwenye hizo special belts during Transit.
Huyu mama kawafanya muwe wehu, kila kitu mnatetea, ati tu kwa sababu hamkumpenda JPM, -------- cretinous stupidity
Uncle Magu TUNAKUKUMBUKA!!!Wapi hiyo habari imesema dhahabu zimetoka Tanzania?
Mungu hashuki siku hizi.Ni aibu
ACHA tuvumilie ivo ivo Hadi Mungu atakapo anus vinginevyo!!
Astakafillulah rajun. Ha!Dhahabu toka Tanzania imekamatwa Ijumaa iliyopita toka kwa abiria wa kihindi aliyetoka Tanzania.
Dhahabu hiyo imenukuliwa kuwa kiasi cha kilo 61 toka kwa abiria wanne.
Maafisa wa Customs waliwakamata wahindi hao na kiasi hicho cha dhahabu, sisi Customs wetu wanahongwa tu.
Mama Tanzania tumekwisha.
![]()
Mumbai Airport Customs seize 61 kg gold worth Rs 32 crore in a day. FM Niramala Sitharaman lauds the alertness
At Mumbai Airport, based on the continuous monitoring of suspicious flights and building on the data-based analysis from the earlier high-quantum gold and foreign currency seizures, a systematic profiling of suspect passengers was undertaken on sensitive flights from certain places in Africa and...m.economictimes.com
Duh!Hata leo kuna kilo 30 kupitia mpaka wa Sirari zimepitishwa na boda boda
Utetezi wa kipumbavu ulio kubuhu[emoji2959][emoji2959] kabisa! Kama wamefuata utaratibu wange kamatwajeKama hapa zimelipiwa kodi stahiki zikikamatwa huko sisi haituhusu.
Kuna watu wanajitoa ufahamu.Utetezi wa kipumbavu ulio kubuhu[emoji2959][emoji2959] kabisa! Kama wamefuata utaratibu wange kamatwaje
Sisi tunaupiga mwingi. Hatuna cha kupoteza 😂 😂 😂 😂 😂 😂Dhahabu toka Tanzania imekamatwa Ijumaa iliyopita toka kwa abiria wa kihindi aliyetoka Tanzania.
Dhahabu hiyo imenukuliwa kuwa kiasi cha kilo 61 toka kwa abiria wanne.
Maafisa wa Customs waliwakamata wahindi hao na kiasi hicho cha dhahabu, sisi Customs wetu wanahongwa tu.
Mama Tanzania tumekwisha.
![]()
Mumbai Airport Customs seize 61 kg gold worth Rs 32 crore in a day. FM Niramala Sitharaman lauds the alertness
At Mumbai Airport, based on the continuous monitoring of suspicious flights and building on the data-based analysis from the earlier high-quantum gold and foreign currency seizures, a systematic profiling of suspect passengers was undertaken on sensitive flights from certain places in Africa and...m.economictimes.com