Dhamana ya Boniface Jacob yadunda, aendelea kusota Rumande

Ikiwa upelelezi haujakamilika na mtuhumiwa anatuhumiwa kwa ugaidi unataka polisi watoe dhamana?!!😲😲
 
Mkuu, naomba kufahamishwa maana ya MAKHLUKU TABU. Asante

Kwa majibu yako, basi tufute dhamana kisheria kabisa, isiwepo.
....ni mtu/watu wanaopenda tabu...wana hulka za kupenda tabu ,shida na matatizo...wao hawafurahii utulivu....

Mkuu yako makosa yasiyo na dhamana:
-Ugaidi
-Mauaji
-Mapinduzi
-Uchochezi
-Kubaka na kunajisi
 
Humo selo kwa jinsi atakavyokuwa anapitisha upepo (passwind), mahabusu wenzake wawe wavumilivu, maana ni miksa mayai ya kuchemsha na makonyagi na kvant
 
Anajiita kamanda acha apambanie ukamanda wake

USSR
 
mama anaupiga mwingi
 
Huyu Mwamba Polisi wanamjenga bila wao kujua! Huyu atachukua Jimbo la Ubungo asubuhi na mapema!
Profesa Kitila Mkumbo hawa Polisi wanakuharibia Jimbo la Ubungo.
Mimi ni CCM , akili za kijinga za Polisi tukae nazo mbali!
Faustine Mafwele ametuhumiwa na mhanga wa kifo Sativa, badala ya kumuhoji na kumfikisha kwenye vyombo vya Sheria wao wanawakamata akina Boni Yai.
Rais Samia unadanganywa na zero brains!
 
Hawa UWT ni wajinga sn
 
We lofa sana, yaani mtu anavunja sheria za nchi eti kwa kuwa ni lichadema, basi lisikamatwe, likikamatwa Ooh! Aaaah! Acheni upinzani uchwala, fuateni sheria za nchi.
Bado upo shimoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…